Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahYesu yupo duniani kafika
Dini ya kiyahudiNaomba kuuliza yesu alikuwa dini gani?
...Yesu kristo kifo chake kilitoka na ugonjwa gani? au alikufa ghafla?Nabii Isaa hakusurubiwa aliywaliwa lakini Yesu Kristo alikufana na baada ya siku tatu akafufuka!
je hao wayahudi wanamuamini kama Mungu?Dini ya kiyahudi
Wanatheolojia wa Roman Cathoric hasa mzee Titus Amigu anasema Nabii Issa na Yesu Kristo ni watu wawili tofauti..
Huyo nabii wenu Issa sijui mudi alimtoa wapi?Hata mimi nakubaliana na Mzee Amigu maana hata mahali walipozaliwa ni tofauti:Yesu Kristof alizaliwa Mji wa Bethlehem ya Uyahudi tena usiku wakati Huyo nabii Issa alizaliwa Uarabuni tena mchana chini ya mti wa mtende mimi sijui kwa nini inalazimishwa ione kana ni mtu mmoja
Hakuna dini inayoruhusu kuvunta bangi hiyo ni tabia ya mtuDini yenu inaruhusu uvutaji bangi ndio maana mnakuwa vilaza
Utajibiwa usijaliNabii Isaa hakusurubiwa aliywaliwa lakini Yesu Kristo alikufana na baada ya siku tatu akafufuka!
Sio wote ,je hao wayahudi wanamuamini kama Mungu?
Ahsante kiongoziSio wote ,
Kwakua walikuwa wakaidi na watata kuliko watu wengine na pia walikuwa wakiwauwa mitume wao , hivyo ikapelekea wawe na mitume wengi zaidi.Malaria 2 kwa nini Waisrael/Wayahudi walipendelewa sana? Wao wana Manabii wengi sana kuliko jamii nyingine yoyote na hata huyu Isa mnasema alitumwa kwao tu. Sababu ni nini ya huu upemdeleo wa wazi wazi?
Kwa nn Mungu apeleke mitume kwa watu watata na wakaidi?Kwakua walikuwa wakaidi na watata kuliko watu wengine na pia walikuwa wakiwauwa mitume wao , hivyo ikapelekea wawe na mitume wengi zaidi.
Ili wafuate maarisho yake, kadri binadamu anavyokumbushwa ndivyo anavyozingatia.Kwa nn Mungu apeleke mitume kwa watu watata na wakaidi?
Shisha,sigara,mirungi?Hakuna dini inayoruhusu kuvunta bangi hiyo ni tabia ya mtu
Naunga mkono hoja. Mwaka 1994 niliwahi kuhudhuria Semina ya Neno la Mungu Kanisa la Lutheran Mviringo pale Magomeni. Miongoni mwa watoa mada alikuwa Baba Askofu Mstaafu Dk. Elinaza Sendoro. Naye alisema hivyo hivyo kwamba Yesu Kristu na Nabii Issa ni watu wawili tofauti. Na moja ya hoja yake ni;Wanatheolojia wa Roman Cathoric hasa mzee Titus Amigu anasema Nabii Issa na Yesu Kristo ni watu wawili tofauti..
Huyo nabii wenu Issa sijui mudi alimtoa wapi?