Kuzaliwa Njiti kunaweza kumuacha Mtoto na ulemavu

Status
Not open for further replies.

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411


Inakadiriwa kuwa takriban Watoto Milioni 15 wanazaliwa kabla ya Wakati kila mwaka Duniani kote

Watoto Milioni 1 waliozaliwa kabla ya Wakati au wakiwa na uzito wa chini hufariki Dunia kwa sababu mbalimbali

Watoto wengi huishi lakini wapo ambao wanapata changamoto ya kuwa na ulemavu wa maisha unaojumuisha uwezo mdogo wa kujifunza, kuona au kusikia
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…