Kurzweil JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 6,621 Reaction score 8,411 Feb 16, 2021 #1 Inakadiriwa kuwa takriban Watoto Milioni 15 wanazaliwa kabla ya Wakati kila mwaka Duniani kote Watoto Milioni 1 waliozaliwa kabla ya Wakati au wakiwa na uzito wa chini hufariki Dunia kwa sababu mbalimbali Watoto wengi huishi lakini wapo ambao wanapata changamoto ya kuwa na ulemavu wa maisha unaojumuisha uwezo mdogo wa kujifunza, kuona au kusikia Upvote 0
Inakadiriwa kuwa takriban Watoto Milioni 15 wanazaliwa kabla ya Wakati kila mwaka Duniani kote Watoto Milioni 1 waliozaliwa kabla ya Wakati au wakiwa na uzito wa chini hufariki Dunia kwa sababu mbalimbali Watoto wengi huishi lakini wapo ambao wanapata changamoto ya kuwa na ulemavu wa maisha unaojumuisha uwezo mdogo wa kujifunza, kuona au kusikia