Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Bado hujapona..subiria canser ya koo iletwayo na HPV..HUMAN PAPILLOMA VIRUS..inachukua mda mrefu ku take off...achaneni na chumvi..

Na nyie midada ya sikuizi ..acheni kujiendekeza ..mwanaume asipo kusak...utasikia OOO HAJUI MAJAMBOOOZZZ
 
Bado hujapona..subiria canser ya koo iletwayo na HPV..HUMAN PAPILLOMA VIRUS..inachukua mda mrefu ku take off...achaneni na chumvi..

Na nyie midada ya sikuizi ..acheni kujiendekeza ..mwanaume asipo kusak...utasikia OOO HAJUI MAJAMBOOOZZZ
Hiyo ni gari iliyotembea sana ndio inayoweza kuleta matatizo na maradhi
Kama gari haijapigwa sterter gari mpya au imetembea kilomita 3
Halafu imeoshwa vizuri utapataje maradhi
Ukitaka kwenda chumvini chagua mashine mpya au haijatumika sana
Ila ukienda chumvini na mashanginhi yanayojiuza yanagongwa kutwa mara 3 lazima upate ugonjwa tu
CHUMVI NI TAMU KULIKO SUKARI
Walijua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…