Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

we unaramba kila mtu! jifunze pia kuandika vizuri kama una jambo unataka kuwashirikisha vijana wenzio.
 
Mmh. Inashangaza sana unapofanya kitu kwa moyo wako halafu mwisho wa siku unalalamika. Ndio umwambie yaliyokukuta ili akae akijua huwezi ukarudia tena.

Hivyo usimfiche
 
Pole, uvinza ndiko kulivyo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila kama kakuganda endelea kuzama tu uvinza lakini hakikisha kuwa kama ana fungus, anazitibu na kupona pamoja na kutumia disinfectact mbali mbali, au atawadhe kwa kutumia dettol kabla ya wewe kwenda kumzamia[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Daah pole aisee sie wenzio tunatangukiza mwakilishi kwanza kuona kama hali nzuri tena akiwa ameshaoga, kidole ndio kinahakiki [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Umeitambulisha HABATSODA!? ww uliigundua wapi!? Ama ndio biashara yako mpya!? Wazinzi bhana mara vumbi la kongo mara chumvi mara duh!? Hayo yote ya nini! Hujitoshelezi!?
 
Za usiku
Wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuche,yan yamenikuta makubwa nduguzanguni
Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimalza mzgo wa uraru lakn Sikh chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni .
Koo lilinikauka saaana
Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohoz flani ila halitemeki
Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana
Bahati nzury nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously
Baada ya,mwezi nikapona lile tatzo
Ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena
Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila cyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani

uende hospitali, kuna virus inaitwa HPV inakuwa kwenye sehemu za siri za kike na kiume. haina madhara na mara nyingi huisha yenyewe ila inaweza pia kusababisha cancer. So nenda kachekiwe usifiche maradhi bro.
 
ww uliramba kifala mkuu,problem yako hujui style ya kuramba huko,siyo una ramba ka maembe ya Tanga,hebu rudi shule ujifunze style za kuramba chumvini pasipo kupata hayo madhara wala alambwaye asiboeke
 
Back
Top Bottom