mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Sio wewe uliyesema ni domo zege umepata wapi ujasiri wa kutongoza tena ukazama na chumvini kabusa
Domo zege linanitesa jamani
Domo zege linanitesa jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida plzNielimika kwa kipi mkuu maana tangu niko chuo najua athari na faida za mambo hayo
Faida ya ngono ni ipi unanayojuaFaida plz
Za usiku
Wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuche,yan yamenikuta makubwa nduguzanguni
Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimalza mzgo wa uraru lakn Sikh chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni .
Koo lilinikauka saaana
Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohoz flani ila halitemeki
Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana
Bahati nzury nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously
Baada ya,mwezi nikapona lile tatzo
Ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena
Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila cyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani