Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Ah wewe unapigia promo hiyo dawa tu upate soko itakua unaziuza naona
 
Kama mtoto tete mtoto anavyotembea atabadirika me ninavumilia
 
Domo zege leo Kabahatika kaamua kuzama hadi uvinza
 
HUJAPONA UNA KANSA YA KOO HABATSODA IMETULIZA TU BADO UNA RB YA KANSA
 
Mkuu babadullah tunashukuru sana kwa ushuhuda na tuzidi kuhusiana, pengine umeokoa roho za watu wengine hapa ambao mda mchache wangezama chumvini...
 
Sasa bila kuzama uko aiseee bado hujaniteka kikubwa usafi atasisi tunawafanyia
 
Nilishawai kufanya uo mchezo nikipata fangasi ya mdomo iliyodumu kwa miezi nane sidhubutu hataa nimekoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…