Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Ndiyo nikasema inategemea ntu na ntu Mkuu. Cancer ya koo imeongezeka sana miaka ya karibuni na chanzo kikubwa ni kunyonya papuchi. Wapo warembo na njemba wapo addicted na hii kitu hawawezi kuacha asilani. Nasikia wengine huvaa kitu kama ndom kwenye ulimi ili kupeana maraha ya duniani.
Jinsia gani huipata hiyo kansa ya koo? Je ni wanaume pekee???
 
Ingekuwa hayo magonjwa yanaenea kirahisi hivyo sijui wanaume wangekua na hali gani coz wengi wanazama!

Mtu unanyonya tu kila mwanamke kwnn usiumwe?
Kamnyonye mkeo ebo!!

Na km we hutaki basi na yy asikufanyie hivyo! Sio ww hutaki kuzama ila yy ndo ainame huko!
 
Ndugu zangu nimeona mjadala unsohusu unyonyaji wa uchi kama kumuandaa mwanamke kwa mapenzi. Je ni sahihi? He ni salama? He uwepo wa acid uliopo ukeni ni sahihi kwa usalama wa vinywa vyetu? He ni mapenzi au ulafi wa kungonoka? Je si sababu ya matatizo ya vinywa vinavyowatafuna vijana wengi kwa sasa?? Je kumtongoza mwanamke kwa njia za kistaarabu na kumpapasa haitoshi kuwa njia pekee ya kumuandaa mwanamke kwa mapigo ya uanaume??
Kwa kujirisha na kufurahishana inaonekana ni salama, lakini kiafya siyo salama. Uwezekano wa maambukizi ya mgonjwa ni mkubwa.

1. Endapo Mwanamke anao uambukizo wa Ugonjwa wa zinaa wa kashwende (syphilis) ambao hakika dalili zake siyo rahisi kuziona basi mnyonyaji huwezi kuondoka na wadudu (bacteria) wa syphilis na hatimae kuugua syphilis.

2. Human papilomavirus (HPV) ni virus ambao hupatikani pia ukeni, ni virus ambao kwa akina mama huwasababishia saratani ya shingo ya kizazi (cervical carcinoma). Hivyo kunyonya ukeni kunawezesha mnyonyaji aweze kuondoka na virus hao. Kwa wanaume virus hawa wamebainika kuchangia kwa kiasi kikubwa saratani ya koromeo (oesophagial cancer). Tatizo ni kuwa saratani siyo Ugonjwa wa haraka haraka hivyo basi baada ya miaka 15 hadi 20 ndipo dalili za saratani huanza kujitokeza. Ni kipindi ambacho muathirika huwa amesahau ameupataje na ukimwambia atakubishia.

Kama unanyonya kuonyesha wewe ni kidume mtaani kwako na ili demu husika akusifie Dunia nzima wewe nyonya lkn tambua kuwa kuna madhara.
 
Sehemu ya uke si salama kutokana na aina bacteria wanaotengenezwa ukeni.
Bacteria wanaweza kuwa natural au artificial kutokana na aina ya madawa anayotumia mwanamke ama affections alizopata kutokana na mambo mbalimbali e.g abortion, sex toy etc
Sidhani hata mwanamke mwenye anaweza kusucks kama wanaume tunavyofanya.
Mbona sikuizi wananyonyana wao Kwa wao
 
ukiwaza madamu ya hedhi yanavyonuka na kuganda.hutanyonya.kule ni kuchafu kazi ya mdomo sio kurambia uchi.mdomo wa kulia ugali.mnyonyaji huwa na ujasiri wa hata kunyonya makamasi.damu chafu ndio mfereji wake,acha kabisa
 
Ndugu zangu nimeona mjadala unsohusu unyonyaji wa uchi kama kumuandaa mwanamke kwa mapenzi. Je ni sahihi? He ni salama? He uwepo wa acid uliopo ukeni ni sahihi kwa usalama wa vinywa vyetu? He ni mapenzi au ulafi wa kungonoka? Je si sababu ya matatizo ya vinywa vinavyowatafuna vijana wengi kwa sasa?? Je kumtongoza mwanamke kwa njia za kistaarabu na kumpapasa haitoshi kuwa njia pekee ya kumuandaa mwanamke kwa mapigo ya uanaume??
Mkuu mm ningependa kukuambia wazo langu kutokana na semina kadha nilizopata juu ya hili jambo la kwenda chuvini na ni kwamba ukiendekeza utapata cancer ya koo kutokana na hali halisi ya ukeni. See a doctor to clarify my perspective.
 
Ingekuwa hayo magonjwa yanaenea kirahisi hivyo sijui wanaume wangekua na hali gani coz wengi wanazama!

Mtu unanyonya tu kila mwanamke kwnn usiumwe?
Kamnyonye mkeo ebo!!

Na km we hutaki basi na yy asikufanyie hivyo! Sio ww hutaki kuzama ila yy ndo ainame huko!
Mkuu magonjwa hayo yapo sana wengi wanaugua vitu vya ajabu ajabu sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kunyonya uchi ni salama kwa UCHI WA MZUNGU ila kwa UCHI wa Mtu mweusi hasa mbongo si salama kwa sababu wa mzungu una vanila na ila wa mbongo una HCL acid
 
Kunyonya uchi ni salama kwa UCHI WA MZUNGU ila kwa UCHI wa Mtu mweusi hasa mbongo si salama kwa sababu wa mzungu una vanila na ila wa mbongo una HCL acid
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Tatizo haya mambo hufanyika sirini. Kila mtu na fantasy zake.
 
sio salama ikitokea manyoya yakaingia kwenye mfumo wa hewa au mapafu,utatumia dawa zote za vikohozi na hata kifua kikuu bila kupona,na kila utakapokuwa unakohoa kila mtu aliye karibu nawe atakushangaa.
manyoya yanaingiaje kwenye mfumo wa hewa...labda kwa kupaliwa
 
Athari zipo sisi sio wabunifu kila kitu tunaiga kutoka nchi za magharibi hata hatuulizi kwa nini kipo wao kwa sababu ya ngozi zao nyeupe uwezo wa kutunza joto ni mdogo ndicho kinawapelekea kufanya hayo weusi hatuna sababu ya hayo ngozi zetu zinatunza sana joto mapaja makubwa chura ute wa asili mzuri taa tu inatosha maumbile yetu mazuri mwanamke analowa tu huhitaji kunyonya labda kama una upungufu wa nguvu inabidi umsisimue kwa ulimi kitu kikisimama vizuri mwenyewe anasisimka
 
Ni salamaaa sanaaa na tamuuu ajabuuu sijapata kuonaaaa tangu nabaleheee mpakaaa ss bila kuingia uvinza naona sijakamilisha game aseeeeh
 
Back
Top Bottom