Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

mimi ndio ugonjwa wangu kuramba chumvi ya Mwanamke lohh anafaidi huyu jamaa kwa huyu kimwana Raha tupu
Nakwambia jamaa anafaidi kweli, yaani katoto kabichiiiii, chuchu dodolido!
 
jamani mbona hamuweki somo live, hako ka juu akatoshi kutoa somo lakaeleweka
 
Nyie hapo ninaye anayenifanyia yote hayo 🙂🙂
tabasamu nipate furaha ...
 
Nilikuwa nalinganisha thread yako hii na signature yako hapo chini, imebidi nirudi nyuma kidogo kutafuta majibu yanayokufaa!...
(lakini ni bora ukawa moto, au baridi, kuliko kuwa wa vuguvugu, maana utatapikwa!)
 
Nilikuwa nalinganisha thread yako hii na signature yako hapo chini, imebidi nirudi nyuma kidogo kutafuta majibu yanayokufaa!...
(lakini ni bora ukawa moto, au baridi, kuliko kuwa wa vuguvugtu, maana utatapikwa!)
mkuu, inawezekana huyu ameoa au kuolewa! Ni haki yake kujua. Kwani wanandoa hawatakiwi kwenda chumvini? Wanandoa wana haki ya kuinjoi tunda kwa raha zao!
 
Mimi nimeoa na nimeona vijana wengi tu wanaongelea Chumvini.Unachoangalia wewe ni meseji tu sio kujadili ishu ingine kwani wewe sisi hatuna haki???
 
Habri wakubwa Eti kwenda Chumvini kunaimarisha Penzi??
Ndiyo,
kwenda chumvini kuna imarisha penzi tena sana. Chamsingi (jambo la kuzingatia kwa afya yako) hapo ni usafi wa mzamiwaji!!

Mara nyingi wanaume waliowengi ni wachoyo wa mapenzi. Ninamaanisha ya kwamba wanapenda kufika kileleni wao bila ya kuwajali wanawake. Ukweli ni kwamba wanawake huchukua muda mrefu kuliko wanaume kufika kileleni. Hivyo kumnyonya matiti tu haitoshi!

Wanaume wengi hishindwa kuvumilia 'foreplay' na kujikuta wakitaka kuingiza 'machine' zao ukeni! Hivyo hufanya wao kumaliza kabla ya wanawake.

Mwanaume akishamaliza na kitu kikienda doro (kimelala) kwenye mazigira kama hayo mwanamke akiwa amesisimka utamsaidia vipi amalize haja yake? Utatumia vidole? Utamlamba?

Wataalamu wanasema kwamba mwanamke anasisimka sana akiguswa ukeni (1-3 inches kutokea mlangoni). Sehemu hiyo inamfanya asikie raha ambayo haina kifani!

Kwahiyo ili kusaidia kumaliza pamoja na kupunguza muda wa mwanamke kupiga bao maepma; unashauriwa kumlamba. Kuzama chumvini. Zingatia usafi kabla ya kwenda uvinza. Usipokuwa makini utatokwa (utaibuka) na fangus za mdomo, koo, etc.

Kuzama chumvini kunamsaidia kumnyegesha na kumsababishia atoe majimaji ambayo utakapoingiza 'dudu' lako kidogo tu utasikia 'nakojoa nakojoa' halafu anakuwa mpoleeeeeeeeeeee! Basi akishakojoa na wewe taratibu unajimalizia kagoli kako! Kama unaweza timing basi unaweza kukojoa
nae pamoja (uzoefu hapo unatakiwa).

Kumnyonya tu matiti, kumpapasa mwanamke haitoshi. Mbona nyie wanaume mnapenda kunyonywa 'midudu' yenu. Unajisikiaje unaponyonywa ududu?

Vivyohivyo ukizama uvinza na yeye mwanamke anasikia raha hiyo hiyo.Lakini nyie kuzama uvinza aaaah mnaona kinyaaa! Lol. Huo ndio tunaita uchoyo wa mapenzi!

Warning:

Ukizama uvinza style ya 69 unatakiwa uwe makini kwani wanawake waliowengi wanarukaruka sana na kama kauweka ududu wako mdomoni mwake anaweza kuongeza speed ya kuupelemba na asipokuwa makini anaweza kukung'ata! Au mara nyingine unaweza chezea makofi ya makalio (makofi ya kimahaba kwasababu ya utamu)

Ukizama uvinza style ya kawaida uwe makini na uwe tayari kukanyagwa mgongoni na mara nyingine unaweza kabwa shingo hahahaha loba ya mapenzi uwiiii, wakubwa wanafaidi!

 
kuna mwana alitapikia K.
so uwe makini hasa hasa na kuku wakienyeji wengi hawajui maji.
 
kuna mwana alitapikia K.
so uwe makini hasa hasa na kuku wakienyeji wengi hawajui maji.

Agree kabisa

Yupo mwingine mtaani kwetu alikuwa kila akipumua anatoa harufu ya "K" kiasi kwamba mtaani alionekana kama anatoka kushuhulika muda huo huo.

Sijui kama Orignal Pastor hujaona pia wale waliobabuka midomo na imekuwa miekundu??? ni sehemu ya hayo madhara tunayozungumzia! Same like ukitumia sana "K" waweza kuona ngozi ya mbele kwenye kichwa cha "P" yako ina change colour na kuwa nyekundu au kahawia, vivyo hivyo kwa mdomo!.

Wapo ambao wameng'oka meno ya "shoo" kutokana na kuzidi kwa madini huko chumvini? kitaalamu haisahuriwi sana kujihusisha na hako kamchezo kwani mchanganyiko wa mate na madini yaliypo huko kwenye eneo unalotaja unbaweza kutengeneza kemikali hatari ambayo pengine yaweza kupofua hata macho.
 
Kuna jamaa kanipigia simu eti hata MK. pia unakwenda chumvini pia hii nayo je akikunyea? maana wengine ndo mara ya kwanza.si unawajua kuku wa shamba
 
Habri wakubwa Eti kwenda Chumvini kunaimarisha Penzi??

Inategemea OP, kuna wanawake wengi tu hawapendi hiyo kitu na hata walipojaribu hawakusikia maraha yoyote yale. Kwa maoni yangu nadhani kama kitu hupendi basi tayari unakuwa na negative mentality hivyo kusikia maraha inakuwa ngumu mno. Niliposoma hili kwenye mtandao na kuona wanawake wengi waliochangia wakidai kwamba hawapendi hiyo kitu nilishangaa sana lakini ndiyo ukweli wa mambo. Sasa imagine kuna ndoa ya wawili mwanaume anapenda sana kuzuka sehemu sehemu na mwanamke hapendi kabisa hiyo kitu....
 
Hee Pape tatizo mimi nina mtu wangu nikiwa uvinza hulia kama mtoto mdogo kwa raha na ule wimbo wa nakojoa ,nakojoa halafu anaishiwa nguvu anakuwa sasa kama gunia hapa kifuani kwangu yaani anazimika kabsa na hataki tena kuendelea na mchezo anakuwa ameshashiba anasema hapo nyuma alikuwa hakojoi sasa ndio anapata raha,sasa mi naanza kereka kwani mimi hubaki chuma kimesimama tu na mwenzangu anaanza kukoroma kwa usingizi,nimeamua kumpiga chini na sasa imeshakuwa taabu kila siku misimu mpaka usiku wa manane,mi nakula jiwe sababu sienjoy kwani nimefanywa gigolo!
 
Back
Top Bottom