Ahsante sana Mwenyekiti mimi ni mwanachama mtiifu hakika sitovunja sheria kwa makusudiKaribu chamani mkuu..mimi ndio mwenyekiti wa chama cha wapiga deki tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachotumia kiongozi agiza hicho hicho aiseeMwanaume anaona raha sana pale mwenza wake anaporidhika na tendo zima. Ndio maana tunajitahidi kubuni mbinu mbalimbali ili kufanya tendo ni la raha kwa wote wakati wa tendo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jinsi kuna maradhi mengi na infections unadhuhutuje aisee, pole yakoNilishawahi zama chumvini kwa mpenzi wangu,miaka ya nyuma,baada ya zoezi,mdomo ulichange kabisa test,koromea likawa kama lina chumvi chumvi hivi!! Hadi leo huo mchezo siutaki kabisa na wala sihitaji hata ku practice
Hivi unapata raha gani kufanya hivo huoni kinyaaHabarini wanajf, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kifupi siwezi kumgegeda mwanamke bila kuzama chumvini kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia hii inazidi kuwa sugu. Je kuna madhara yoyote pindi unaponyonya sehemu za siri za mwanamke? (kuzama chumvini) naombeni ushauri wenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
MhhhhhhMapenzi ni uchafu na huo uchafu ndio chachandu ya kuleta raha zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hoja kunyonya viungo vya siri ni hatari tatizo watu waiga porn, mfano Dar wanawake wanaongoza kwa uti sugu, na mafungus, sasa huko chini kunakuwaje, mi huo ushenzi siukuubaliUnatatizo la kisaikolojoa mkuu.
Mwanaume hupati raha yoyote unapomfanyia mwanamke kitu icho. Wengi hufanya kwakujua kwamba mwanamke ndie anaepata raha. Sasa kama na weye mwenyewe unahisi raha Hupo sawa kiakili mkuu.
Na kuhusu madhara mkuu huko chini sio salama kabisa kutia ulimi. Kuna uchafu mwingi na backteria wabaya tele kiujumla. Nisawa na mtu kuwa na donda alafu weye ukaliramba.
Jaribu uachie siku moja mtu akuzamie, hutaacha kuchanua kamwe. Kuzama kuna raha yake!!Una hoja kunyonya viungo vya siri ni hatari tatizo watu waiga porn, mfano Dar wanawake wanaongoza kwa uti sugu, na mafungus, sasa huko chini kunakuwaje, mi huo ushenzi siukuubali
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sitaki hata kujaribu hyo kitu kah aibu zingine bwana acha nibaki hivi hivi yani I can'tJaribu uachie siku moja mtu akuzamie, hutaacha kuchanua kamwe. Kuzama kuna raha yake!!
[emoji120] Asante nimeelewa kwanini naumw meno.. Maana huwa nkila nyama lazma meno yaume afu ni tangu nlivyo anzaga kuzama chumvin. pia huwa nkizama chumvin baada ya hapo huwa naumw meno.. Mwanzo nlikua cjui chanzo ni nini ila nlivyo anza fanya utafiti kwanini naumw meno nlikuja gundua tatizo ilikuwa ni kuzama chumvin..Hhuko unakoita Chumvini ni sehemu yenye wadudu wengi sana kuanzia fungus, Herpes, bacteria n.k hivyo iwapo una hali mbaya mdomoni unaweza kuwa umepata fungus au vimelea wengine kutoka huko na kwa njia ya fecal oral route namaanisha baada ya kuingia chumvini ukashindwa kujisafisha vizuri mikono na mwili wako unaweza kupeleka maambukizi katika kinywa,hata hivyo nahitaji maelezo zaidi kama kuna vidonda kinywani au utando wowote kwa sas unaweza kuwa unatumia Mouth wash Solution ili kuondoa haufu mbaya kama kuna utando mweupe unaweza kutumia Nystatin cream 1mls mara nne kwa siku( in case ni fungus) otherwise nipe maelezo zaidi.
Pili tatizo la kutotumia Kondomu baada ya goli la pili is more psychological than physical hivyo, Jifunze kulinganisha thamani ya maisha yako na raha ya muda mfupi unayoipata huku ukiwa na uwezekanifu wa kupata maambukizi.
Nakushauri pia uwe na mpenzi mmoja mwaminifu na mpime virusi ili hata kama usipotumia kondomu uwe salama.
Mwisho Chumvini si mahali pa salama kabisana hapakuumbwa kwa kazi hiyo.
Jitahidi kutumia viunga vya mwili kadri Mungu anavyotaka vitumie
Shukrani
Weeeeeee k haina kinyaaHua mnapata raha gani? Palivyo na kinyaa vile
Aibu gani sasa unayoona??[emoji1] [emoji1] [emoji1] sitaki hata kujaribu hyo kitu kah aibu zingine bwana acha nibaki hivi hivi yani I can't
Sent using Jamii Forums mobile app