Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Unatatizo la kisaikolojoa mkuu.
Mwanaume hupati raha yoyote unapomfanyia mwanamke kitu icho. Wengi hufanya kwakujua kwamba mwanamke ndie anaepata raha. Sasa kama na weye mwenyewe unahisi raha Hupo sawa kiakili mkuu.

Na kuhusu madhara mkuu huko chini sio salama kabisa kutia ulimi. Kuna uchafu mwingi na backteria wabaya tele kiujumla. Nisawa na mtu kuwa na donda alafu weye ukaliramba.
 
Nilishawahi zama chumvini kwa mpenzi wangu,miaka ya nyuma,baada ya zoezi,mdomo ulichange kabisa test,koromea likawa kama lina chumvi chumvi hivi!! Hadi leo huo mchezo siutaki kabisa na wala sihitaji hata ku practice
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jinsi kuna maradhi mengi na infections unadhuhutuje aisee, pole yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wanajf, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kifupi siwezi kumgegeda mwanamke bila kuzama chumvini kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia hii inazidi kuwa sugu. Je kuna madhara yoyote pindi unaponyonya sehemu za siri za mwanamke? (kuzama chumvini) naombeni ushauri wenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unapata raha gani kufanya hivo huoni kinyaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatatizo la kisaikolojoa mkuu.
Mwanaume hupati raha yoyote unapomfanyia mwanamke kitu icho. Wengi hufanya kwakujua kwamba mwanamke ndie anaepata raha. Sasa kama na weye mwenyewe unahisi raha Hupo sawa kiakili mkuu.

Na kuhusu madhara mkuu huko chini sio salama kabisa kutia ulimi. Kuna uchafu mwingi na backteria wabaya tele kiujumla. Nisawa na mtu kuwa na donda alafu weye ukaliramba.
Una hoja kunyonya viungo vya siri ni hatari tatizo watu waiga porn, mfano Dar wanawake wanaongoza kwa uti sugu, na mafungus, sasa huko chini kunakuwaje, mi huo ushenzi siukuubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hhuko unakoita Chumvini ni sehemu yenye wadudu wengi sana kuanzia fungus, Herpes, bacteria n.k hivyo iwapo una hali mbaya mdomoni unaweza kuwa umepata fungus au vimelea wengine kutoka huko na kwa njia ya fecal oral route namaanisha baada ya kuingia chumvini ukashindwa kujisafisha vizuri mikono na mwili wako unaweza kupeleka maambukizi katika kinywa,hata hivyo nahitaji maelezo zaidi kama kuna vidonda kinywani au utando wowote kwa sas unaweza kuwa unatumia Mouth wash Solution ili kuondoa haufu mbaya kama kuna utando mweupe unaweza kutumia Nystatin cream 1mls mara nne kwa siku( in case ni fungus) otherwise nipe maelezo zaidi.

Pili tatizo la kutotumia Kondomu baada ya goli la pili is more psychological than physical hivyo, Jifunze kulinganisha thamani ya maisha yako na raha ya muda mfupi unayoipata huku ukiwa na uwezekanifu wa kupata maambukizi.

Nakushauri pia uwe na mpenzi mmoja mwaminifu na mpime virusi ili hata kama usipotumia kondomu uwe salama.

Mwisho Chumvini si mahali pa salama kabisana hapakuumbwa kwa kazi hiyo.

Jitahidi kutumia viunga vya mwili kadri Mungu anavyotaka vitumie
Shukrani
[emoji120] Asante nimeelewa kwanini naumw meno.. Maana huwa nkila nyama lazma meno yaume afu ni tangu nlivyo anzaga kuzama chumvin. pia huwa nkizama chumvin baada ya hapo huwa naumw meno.. Mwanzo nlikua cjui chanzo ni nini ila nlivyo anza fanya utafiti kwanini naumw meno nlikuja gundua tatizo ilikuwa ni kuzama chumvin..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom