Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

nambie we bidada, mtaalamu wa ''hallow hallow, mic check one two''!!!!!!!
haaaaaaaa hahhaaaaaaaaaaa hahaaaaaaaa raha kwel kweli
...i mambo inaitaj busara na usaf kidogo lakin kwa uaminifu ulioposasa ivi...mtu katoka kwa mwajuma magomen uko ata kuoga ajaoga then anakuja kwako afu unajitia umashuhuri wa kutumia bdhaa za azam mmhh mhh unaweza kufa....manake unachukua grand total ya uchafu wa mwajuma na wachumba zake 14 wengne+uchafu wa...haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa apana..
the art tself z gud bt mazngra +hali halisi ist frendly INTO T????????
mi sjakua bwana nawaskiliza nyie wakubwa akina bacha mtuelezeeeeeeeeee
 
Nimesikia mahali kuwa saratani ya koo huongezeka kwa kulamba visivyolambika...............
 
hapo hakuna cha saratani ya koo wala nini.
ni burudani kwa kwenda mbele
 
Hakuna nati za koo zinazolegea kwa kumeza hayo maji ya huko mahali???
 
mmhh kuchimba chumvi kunahitaji ujasiri- ha ha ha
 
jamani hicho kidude cha njano kwenye picha ya 3 ni nini? kijibu kimeiva nini? mmhhh
 
hawa piga ua ni wabongo tena wamepiga hizi picha kwa simu za mokononi!
 
Never, ever never acha niitwe mshamba, hata niachwe na mademu 100 sitafanya huo ujinga. Lazima tuwe na kiasi na tujue kuwa kila kitu kikizidi ni hatari na karaha.
 
Kibanga; kukuruhusu upige chabo ndo uliamua kuja kunianika hivi!..........................the teh nice pic!
 
Hii kweli yahitaji usafi wa hali ya juu sana...ila ni njia nzuri sana ya kumfurahisha umpendaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…