haaaaaaaa hahhaaaaaaaaaaa hahaaaaaaaa raha kwel kwelinambie we bidada, mtaalamu wa ''hallow hallow, mic check one two''!!!!!!!
hayo ndo maisha yenyewe,Hivi kwanini ngono inachangiwa na wengi kuliko siasa?
Ndiyo maana upinzani unapwaya!ukimwuliza fulani humu amechangia post ngapi za siasa utasikia hakuna za ngono ohooooooooo!!ndo zimempa chati yakuwa senior expert member!!:A S angry:
Tupooo! Dah! Jamaa anafwaidi kichizi
hapo hakuna cha saratani ya koo wala nini.
ni burudani kwa kwenda mbele
Inapendeza hongera sna ww ni man wa mwaka:teeth:
yani umenichekesha sharks sina mbavu kwakweliwatakufa makoo na hamna spea