Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Dah rev. Masa unaniogopesha mkuu, ila mbna kuwa watu wanalama chumvini na hawapati cancer? Ni % ngapi ya uwezekano wa kuathirika?mm nime experience for 6 years kwa demu mmoja tu bt kwa sasa karudi nchini kwao.
achana na hayo matatizo mbona mbishi sana mkubwa futa wazo hilo muombe mungu utasahau mkubwa unatisha kama gamba du
 
achana na hayo matatizo mbona mbishi sana mkubwa futa wazo hilo muombe mungu utasahau mkubwa unatisha kama gamba du
haya mkuu najitahidi kufuata ushauri then kesho nitaanza kutafuta wanapotoa psychotherapy.
 
kuna rafiki yangu m1 nae alikua na katabia kalikopitiliza kama kako, ukimuona sasa hv meno yote ya mbele hakuna. ujue kwenye uke kuna acid, pH chini ya 5 inatafuna meno yoote baada ya mda. wewe yako vp?
 
kuna rafiki yangu m1 nae alikua na katabia kalikopitiliza kama kako, ukimuona sasa hv meno yote ya mbele hakuna. ujue kwenye uke kuna acid, pH chini ya 5 inatafuna meno yoote baada ya mda. wewe yako vp?

Mmmmh mkuu huyo alikuwa anang'ata sasa
 
Mnapenda kujaribu jaribu uzungu kila kitu, kwani wewe hujui hako kwa nchi ka demu wako kanaongoza kwa maradhi, lwako.
 
Mkuu, we endelea kuzama uvinza. Haina madhara. Mbona hata magadini sisi tunazama mwaka wa kumi huu na wala hata hatuumwi?
 
Mkuu, we endelea kuzama uvinza. Haina madhara. Mbona hata magadini sisi tunazama mwaka wa kumi huu na wala hata hatuumwi?

Ok mkuu kuna gash mmoja anani feel bt nampotezeaga tu mana namuona TBS, bt nikipata mwenye TBS lazima nitafute hiyo kitu hyseee
 
Kama muhusika ni msafi wa mwili, ninaposema mwili namaanisha mwili wote 🙂 mpaka maeneo nyeti basi hakuna tatizo kabisa.
 
Mkuu,u r in danger! You better stop it right now and forget about it completely. Uke una tendency of producing mucus and also maeneo hayo c salama kwan usaf usiutizame kwa macho 2,it should be sterilized other wise you gonna get infections especially skin related diseases.rudi kwa mungu kaka.dunia mapito!
 
Ingia chumvini kaka kuna raha yake huko. Usafi muhimu, hamna cancer wala nini. Wasikutishe hao. Wao wenyewe hawawezi kuikosa chumvi. Wanakuonea choyo tu kwa raha ulizokuwa ukipata. Haaaah haah haaaaa.
 
mambo wanayofanya wanadamu wa sasa hata enzi za sodoma hayakuwepo laana ya kizaz hiki na hukumu yake sijui tutapumulia wapi,mara chumvin dah! Watu wakaona haitoshi wakaamua kunyonya hadi kinyeo.huu upuuzi na ujinga wa kuiga utatupeleka pabaya.binadamu tutubu na tuache dhambi.haya mambo hayampendez Mungu.alikupa mdomo kwa ajili ya kula na kunywa pamoja na kuongea'si kunyonyea visivyonyonywa.acha haraka sana hiyo tabia

Mkuu kama waona hizo ndo kazi pekee za mdomo, endelea hivyohivyo ila huku ukijua kwamba hii ni dunia ya ugunduzi. Wenzio wamesha gundua kazi zingine za mdomo.
 
Kitu chochote kisipokuwa safi huwa na madhara!! hata mdomo usipokuwa msafi pia mdomo kwa mdomo pia kuna madhara!! kwenda chumvini kuna madhara vile vile kama mtu akila bila kunawa mkono, hata hivyo kuna maradhi ambayo yanapatikana katika uke enda ikawa kupitia uume au mdomo na kuingia katika damu na kuleta madhara siku za baadae. gonjwa baya sana ambalo huku kwetu litakuwa limeletwa na watu kutoka magharibi ni mkada wa jeshi ambao unasabavisha virusi wa (simplex virus) ambao ugonjwa huu hujulikana kama Herpes. hawa wadudu hawana tiba za magharibi pengine kwa nchi za afrika iwe ni vijijini kwa wasiotumia madawa ya kigeni, pengine yawezekana kuwa na dawa yake, lakini kwa kutokana na uzungu na kutuachia mila zao tumekuwa watumwa na hatuwezi kujua ni nani mtabibu wa kweli!! kuhusu wewe kuwa mlevi wa hiyo mambo, sio wewe tu na tumaini hata baadhi waliochangia mada nao wanaweza kuwa waathirika wa kuingia chumvini. ukitaka kujua hao wenzako pindi wanapo muona demu mzuri huwa wanalamba midomo yao, hiyo sio kuonyesha kuwa anapenda ila kwa kuwa akilini amezoea hiyo mdomo huwa unapata hamu kwanza. bila shaka hata wewe uko na hali hiyo
 
Pole na hongera-nadhani huko aliko anakuota tu-eeeeeeeeh?
Ulianza bahati mbaya,alikuomba yeye au ulitaka kumuonyesha unavyojua majamboz.
Mm najua utamu wa hy,ss ndg yangu usiendeleee zaidi ya hapo,ukijaribu mambo mengine ya nyuma,sijui kama utaishia kwa kina dada tu,Mungu akurehemu kutoka huko.
NB:Nasikia kina dada wa pwani wana jinsi anakutegeshea unajikuta umetumbukia uvinza au nyuma bila kujijua huku unalia kama mbwa na chatu,kwa hy acha addiction zako!
 
Unatofauti na teja kaka kwani imekadhiri kiakili mpokee yesu ndo jibu pekeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom