achana na hayo matatizo mbona mbishi sana mkubwa futa wazo hilo muombe mungu utasahau mkubwa unatisha kama gamba duDah rev. Masa unaniogopesha mkuu, ila mbna kuwa watu wanalama chumvini na hawapati cancer? Ni % ngapi ya uwezekano wa kuathirika?mm nime experience for 6 years kwa demu mmoja tu bt kwa sasa karudi nchini kwao.
haya mkuu najitahidi kufuata ushauri then kesho nitaanza kutafuta wanapotoa psychotherapy.achana na hayo matatizo mbona mbishi sana mkubwa futa wazo hilo muombe mungu utasahau mkubwa unatisha kama gamba du
kuna rafiki yangu m1 nae alikua na katabia kalikopitiliza kama kako, ukimuona sasa hv meno yote ya mbele hakuna. ujue kwenye uke kuna acid, pH chini ya 5 inatafuna meno yoote baada ya mda. wewe yako vp?
Mkuu, we endelea kuzama uvinza. Haina madhara. Mbona hata magadini sisi tunazama mwaka wa kumi huu na wala hata hatuumwi?
<br />Nunua chuchu ya mtt uwe unanyoya pale unapockia hamu
Nyie hamjui tu ile kitu ni tamu, nothing to compare nliianza bt ntajitahidi kuacha bt mh tamu ww[/QUOTE We ladha yake ipi?
mambo wanayofanya wanadamu wa sasa hata enzi za sodoma hayakuwepo laana ya kizaz hiki na hukumu yake sijui tutapumulia wapi,mara chumvin dah! Watu wakaona haitoshi wakaamua kunyonya hadi kinyeo.huu upuuzi na ujinga wa kuiga utatupeleka pabaya.binadamu tutubu na tuache dhambi.haya mambo hayampendez Mungu.alikupa mdomo kwa ajili ya kula na kunywa pamoja na kuongea'si kunyonyea visivyonyonywa.acha haraka sana hiyo tabia