Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

sio lazima kwenda chumvini,we nyeti za hawa jamaa full vipande vya toilet pepa halafu uniambie niende chumvini?abdani sintofanya hivyo kamwe labda kwa mbongo mwenzangu anayeiosha kwa maji

hapo kwenye red ni kweli kabisa! nilikutana na demu fulani mzungu jijini Copenhagen nikawa nakula mzigo. demu bomba kinoma ana shape ya kibantu. yeye kila aki-pee (number 1 in US) anatumia toilet paper sasa shughuli inakuja wakati wa majamboz ananiomba nizame chumvini. Just imagine uvundo wa huko. Njemba nikawa navunda...akawa mbogo siku nikamtolea uvivu..."bwana eeeh unanuka uvundo wa mkojo so either kila uki-pee uoshe na maji au muda mfupi kabla ya game nenda kaoshe hiyo ndude" lakini mademu wetu bongo toilet paper hazipandi wao ni full kuosha so inalipa kwenda chumvini
 
Usizame chumvini kwa demu wako aje aonjwe na mzimiaji lazima uibiwe sana
 
dah hwa washenz wamekosa wanaume kibao tumejaa tele wa kufanya majamboz
 
Women's power..! This could herald the extinction of men from the universe..
 
Huyo mwanaume yawezekana huyo papa kaumeza uboo wote hata hauonekani mnadhani anapiga chimbo......Kibamia hicho.Shaft ya ukweli haweki yote mdomoni...
 
Fungus, kama siyo msafi. Hakikisha ni msafi kwa maana ya the highest hygene standards....sio kukurupuka tu! Mwanamke msafi ni raha sana kumnyonya mbunye!
 
Fungus, kama siyo msafi. Hakikisha ni msafi kwa maana ya the highest hygene standards....sio kukurupuka tu! Mwanamke msafi ni raha sana kumnyonya mbunye!
Ni kweli kabisa usafi ndiyo kigezo pekee cha msingi kuingia chumvini, na kama mwanamke ana nyege za kawaida ukinyonya ile kitu atakupa thanxs kama wanaJF wanavyotoa thanxs kwa Mwanakijiji au Regia Mtema pindi wanapotoa useful information.
 
M W R nawe nadhani wastahili kupewa thanks for this msg

Ni kweli kabisa usafi ndiyo kigezo pekee cha msingi kuingia chumvini, na kama mwanamke ana nyege za kawaida ukinyonya ile kitu atakupa thanxs kama wanaJF wanavyotoa thanxs kwa Mwanakijiji au Regia Mtema pindi wanapotoa useful information.
 
Nimewahi kusikia watu wengine hupenda kwenda chimboni,wengine (akina dadas) kulamba koni etc,je kuna madhara gani kiafya?
Nawasilisha.
 
vigezo na masharti kuzingatiwa usafi ni muhimu na lazima..
 
Niliahidi nitakuja na mada muhimu inayohusu madhara/side effect kwa wale watumiaji wa kunyonyana wakati wa kufanya ngono-lugha rasmi ni kwenda chumvini. Kwanza tunajiaminisha kwamba hivi ni vitu tulivyokopa kutoka kwa watu wa magharibi/wazungu na tumeviingizwa katika ''system'' na tumejiaminisha kwamba inaleta muhamko(woman genital stimulation) wa kimapenzi pindi mdada/mkaka ukifanyiwa hivi. Labda niseme tu chumvini si lazima,ingawa inaongeza heshima na ustadi wa mapenzi.


Kwanza nianze kwa kusema hivi, kutokana na odors ya kimaumbile ni vizuri kwa guys kwenda chumvini pindi mwenza wako akitoka kuoga, hii itaepusha ile feeling kwamba chumvini ni 'uchafu' na mara zote huwa tunatumia ulimi na lips kufanya haya, na mara nyingine vidole hutumika pia. Sasa niendelee na mpangilio wangu kwa jinsi nionavyo na nilivyopitia-pitia baadhi ya news kuhusu hii kitu na mifano ambayo hapo awali nilikuwa sijajua ilisababishwa na nini lakini badae nikaja kujua.


Magonjwa yote yanasobabishwa na kungonoka(Sexual Transmited Diseases) yanapatikana vile kwa kutumia/kwenda chumvini. Hii ni kwa wote. Kama yale majimaji yatakuwa infected like HIV au bacteria basi mlambaji atakuwa ameathirika. Sasa angalia, ukilamaba halafu ukameza mate ni kwamba hawa bacteria wanakuwa transfered kwenye koo,wanaenda tumboni,wanatapakaa kwenye urethra, cervix, testicles na wanasababisha matatizo mpaka kwenye ovaries. Hapa nishauri kitu kimoja, tusipende kunyoa (ma.vuzi) few hours before sex, hii itaepusha risk ya kupata HIV, either kwenye kusex au kwenye oral sex.


Ukiendekeza sana chumvini kuna uwezekano wa kupa Head and Neck Cancers ambayo ina-attack sana Mdomo, Pua, Sinuses na Koo(throat). Sasa hivi kuna ongezeko kubwa sana la oropharyngeal cancer, hii ni kansa ambayo inakua kwenye tonsas(tonsils) na katika base ya ulimi kwa ndani ambayo ni kwa watu hata sigara hawazuti na mostly ni vijana, hii si nyingine ni practise ya Oral Sex. Na virusi wanaosababisha hizi cancer wanajulikana kama HPV(Human PapillomaVirus),hawa wanainfect genital, mdomo na throat. Kuna chanjo na baadhi kuna medical treatment.


Kuna watu wameumwa magonjwa ya ajabuajabu baada ya kwenda chumvini, hii inahusisha midomo kuvimba, mapele n.k, hii inawezekana ni aina mpya ya magonjwa yanayoweza kupatikana through cunningulus na felatio. Wakati nipo sekondari kuna rafiki yangu mmoja alifanya ngono isiyo salama na msichana ambaye alikuwa yupo kwenye 'circle-MP' jamaa baada ya siku kadhaa dudu(penis) lilivimbiana likawa linatoa denda, muwasho na maumivu makali. Yeye akawa anaficha lakini baada ya kuzidiwa ikabidi aeleze hadharani. Sema uzuri ni kwamba kule kijijini kulikuwa na wataalam, hakutuambia aliponaje lakini alichosema ni kwamba alinywesha jivu fresh la asubuhi, kakorogewa kwenye kikombe then kapewa, na baadae hali ikawa shwari.


Kiutaalamu zaidi ni kwamba Oral sex infections zake ni ndogo ukilinganisha na vagnal intercourse. Kwahiyo tuwe waangalifu kwa wenza wetu. Sio unakutana tu dada kitaa siku mbili mnaanza mahusiano unaenda chumvini,sio fresh et all.


Wasalaam!!
 
Back
Top Bottom