Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

dah! Nimekusoma aixee chumvini kumbe akufahi

Hapana Mkuu inategemea na usafi na tabia ya mhusika. Kama ni mtu aliyetulia habadilishi wanaume huku na kule, ni msafi wa mwili na nguo na pia huangalia afya yake kwa vipimo kila baada ya muda fulani ili kuhakikisha yuko salama basi hakuna ubaya wowote. Inasemekana kinywa ni kichafu zaidi kuliko kule mahala

Vagina or Mouth?... | Facebook 🙂
 
Pigo kweli kweli, sasa itakuwaje???? bila chumvini?? muuuumuuuu
 
Haa..batani za 'thanx' na 'like' mbona sizioni?ni kwangu tu ama?
 
hapo ni kweli mtoa mada pia kuna vitu vinaitwa Normal flora kitaalamu yaani hawa ni wadudu wanakaa sehemu moja kwa mfano mdomoni pale mdomoni wakiwa pale hawana madhara ila wakihamishiwa sehemu nyingie wanaleta madhara km Lacto bacillus ni normal flora wa chumvini sasa akihamishiwa mdomoni ndo maana unaweza ukawa katika risk yakupata oral cancer kama mtoa mada alivyosema hapo juuu tusiige kila kitu let us be ourself
 
Mmmh,sijui?ila kuacha ni ngumu jaman!sema ka alivosema mtaalamu,kuwa na mtu mmoja mnaeaminiana na msaf,chumvin kuna utamu wake jaman,ka nusu pepo yan!
 
Kwa kuongeze tu, kwa wale wanaokwenda chumvini, waelewe kuwa the main purpose ni kumpa hamasa mwanamke na hii haina ulazima wa kutumia mdomo wote unapokuwa chumvini kwasabau unakuwa una play na clitoris, you can only use ulimi tu kitu ambacho kitakupunguzia risks za magonjwa.
 
Mwanzo skujua kwa nn panaitwa Chumvini, nilihic ni jina2 kumbe lina implication flani bwana. Nimejua hilo hv majuz.
 
Kwa hii mada, Mwana JF yeyote atakayeendelea kwenda chumvini ni kwa upendo wake mwenyewe.
Mwenye masikio ya kusikilia na asikie l; Mwenye macho ya kuonea na aone lakini pia Mwenye akili ya kuamulia na aamue sasa.
 
Bwana Sizinga huwa napenda sana unavyojitahidi kuwa Daktari kwa wana jf, unaonaje usomee kabisa ili nia yako nzuri ya kushauri kitabibu iweze kutimia?.

Nakupongeza sana kwa jitiada zako, pia nakushauri uwe unafanya consultations na wataalamu husika kabla ya ku post mada, au kwakuwa siku hizi unaweza ku google kila kitu kwenye mtandao fanya hivyo kwa kupata majibu mazuri. kwa mfano katika hili, ebu google vagina atlas itakwambia kila kitu kuhusu kiungo hiki cha uzazi.
 
Hii inatokana na miili kuwa ya baridi, mtu hupati joto/hamu hati wakutafunetafune, loo..!
 
Hivi kunyonya mbunye kuna madhara gani hasa kwa mke na mchumba wako
View attachment 32279

Because of growing concerns about the possibility of HIV transmission through the widespread practice of oral sex, the British Government's Department of Health set up an expert group to report back on the matter. In broad summary, their main conclusions were:

  • HIV can be transmitted by oral sex, though this does not occur frequently
  • both fellatio and cunnilingus have been known to pass it on
  • both ‘receiving' and ‘giving' fellatio have been incriminated
  • oral sex is certainly much safer HIV-wise than rectal or anal sex
  • oral sex is probably safer than vaginal intercourse
  • ulcers in the mouth could increase the risk
  • oral sex is more risky than non-penetrative sex (eg mutual masturbation, kissing, etc)
  • during fellatio, if the man avoids ejaculation, it probably reduces the risk somewhat
  • in the case of cunnilingus, there may be an increased risk of transmission if the woman is menstruating
  • there's no evidence that mouthwashes could reduce the risk of infection
  • using condoms or ‘dental dams' during oral sex could reduce the chance of infection, but not eliminate it
    [h=3]Gonorrhoea[/h] Gonorrhoea, a common STD, can be transmitted to the throat during oral sex, especially fellatio. Because of this fact, GUM clinics often take ‘throat swabs' these days. In the throat, the germ usually causes inflammation, formation of pus and sometimes soreness.

    [h=3]Syphilis[/h] The lesions of syphilis usually appear on the genitals or the anus – and very rarely on the nipple. But they do occasionally appear on the lips, as a result of oral sex.
    However, please bear in mind that in the UK syphilis has been a rarity for many years. Nevertheless, there have been one or two small outbreaks among gay males in the early 2000s, notably in Bristol and Brighton. Currently there are a little over 3,000 cases of syphilis a year in the UK.

    [h=3]Chlamydia[/h] Chlamydia trachomatis – this little genital bug has become almost epidemic among sexually active young people during the early years of the 21st century.
    It's estimated that in some parts of the UK that at least 10 per cent of younger adults have it.
    It is sometimes found in swabs taken from the throat, and it is thought that it can be transmitted by oral sex, particularly fellatio.
    Please note that if it gets established in or near the mouth or nose, it could cause various infections, particularly of the eye. In 2010, doctors warned that oral sex could cause a one-sided conjunctivitis, which does not clear up on routine treatment with eye drops.

 
Bwana Sizinga huwa napenda sana unavyojitahidi kuwa Daktari kwa wana jf, unaonaje usomee kabisa ili nia yako nzuri ya kushauri kitabibu iweze kutimia?.

Nakupongeza sana kwa jitiada zako, pia nakushauri uwe unafanya consultations na wataalamu husika kabla ya ku post mada, au kwakuwa siku hizi unaweza ku google kila kitu kwenye mtandao fanya hivyo kwa kupata majibu mazuri. kwa mfano katika hili, ebu google vagina atlas itakwambia kila kitu kuhusu kiungo hiki cha uzazi.

Ahsante kwa link...vp lakini mkuu!! za kitambo?? usisite kunitoa kasoro bana..mi naamini ni sehemu ya kuelimishana tu and still naisubiria ile mada yako ndeeeeeeefu uliyosema unaiandaaa kwa ajili ya wanajamvi..imefikia wapi?? All the best broo!!
 
Niliahidi nitakuja na mada muhimu inayohusu madhara/side effect kwa wale watumiaji wa kunyonyana wakati wa kufanya ngono-lugha rasmi ni kwenda chumvini. Kwanza tunajiaminisha kwamba hivi ni vitu tulivyokopa kutoka kwa watu wa magharibi/wazungu na tumeviingizwa katika ''system'' na tumejiaminisha kwamba inaleta muhamko(woman genital stimulation) wa kimapenzi pindi mdada/mkaka ukifanyiwa hivi. Labda niseme tu chumvini si lazima,ingawa inaongeza heshima na ustadi wa mapenzi.
Kaka bila kwenda chumvini mwanamke atachellewa sana kukojoa unaweza komaa saa nzima mambo yote chumvini banaa mzuka wote anaupata mziki ataimba hakuna anayefake ukiwa chumvini tofauti na mikelele ya kuibia utakayosikia akipiga ukimpelekea mchokoabwengo/mkurupio(moto) kitu cha msingi kuzingatia usiwe na vidonda mdomoni wala michubuko yeyote,na pia ujue kulamba chumvi siyo unaingia kichwakichwa kama unakula ugali utamboa mtu wako then utaharibu feelings zake na mchezo mzima baada ya hapo ni kuibiwa tu kama hujawahi jifunze kwanza au uliza wazoefu wakueleweshe usije haribu dhana nzima ya kwenda chumvini.


Kwanza nianze kwa kusema hivi, kutokana na odors ya kimaumbile ni vizuri kwa guys kwenda chumvini pindi mwenza wako akitoka kuoga, hii itaepusha ile feeling kwamba chumvini ni 'uchafu' na mara zote huwa tunatumia ulimi na lips kufanya haya, na mara nyingine vidole hutumika pia. Sasa niendelee na mpangilio wangu kwa jinsi nionavyo na nilivyopitia-pitia baadhi ya news kuhusu hii kitu na mifano ambayo hapo awali nilikuwa sijajua ilisababishwa na nini lakini badae nikaja kujua.


Magonjwa yote yanasobabishwa na kungonoka(Sexual Transmited Diseases) yanapatikana vile kwa kutumia/kwenda chumvini. Hii ni kwa wote. Kama yale majimaji yatakuwa infected like HIV au bacteria basi mlambaji atakuwa ameathirika. Sasa angalia, ukilamaba halafu ukameza mate ni kwamba hawa bacteria wanakuwa transfered kwenye koo,wanaenda tumboni,wanatapakaa kwenye urethra, cervix, testicles na wanasababisha matatizo mpaka kwenye ovaries. Hapa nishauri kitu kimoja, tusipende kunyoa (ma.vuzi) few hours before sex, hii itaepusha risk ya kupata HIV, either kwenye kusex au kwenye oral sex.


Ukiendekeza sana chumvini kuna uwezekano wa kupa Head and Neck Cancers ambayo ina-attack sana Mdomo, Pua, Sinuses na Koo(throat). Sasa hivi kuna ongezeko kubwa sana la oropharyngeal cancer, hii ni kansa ambayo inakua kwenye tonsas(tonsils) na katika base ya ulimi kwa ndani ambayo ni kwa watu hata sigara hawazuti na mostly ni vijana, hii si nyingine ni practise ya Oral Sex. Na virusi wanaosababisha hizi cancer wanajulikana kama HPV(Human PapillomaVirus),hawa wanainfect genital, mdomo na throat. Kuna chanjo na baadhi kuna medical treatment.


Kuna watu wameumwa magonjwa ya ajabuajabu baada ya kwenda chumvini, hii inahusisha midomo kuvimba, mapele n.k, hii inawezekana ni aina mpya ya magonjwa yanayoweza kupatikana through cunningulus na felatio. Wakati nipo sekondari kuna rafiki yangu mmoja alifanya ngono isiyo salama na msichana ambaye alikuwa yupo kwenye 'circle-MP' jamaa baada ya siku kadhaa dudu(penis) lilivimbiana likawa linatoa denda, muwasho na maumivu makali. Yeye akawa anaficha lakini baada ya kuzidiwa ikabidi aeleze hadharani. Sema uzuri ni kwamba kule kijijini kulikuwa na wataalam, hakutuambia aliponaje lakini alichosema ni kwamba alinywesha jivu fresh la asubuhi, kakorogewa kwenye kikombe then kapewa, na baadae hali ikawa shwari.


Kiutaalamu zaidi ni kwamba Oral sex infections zake ni ndogo ukilinganisha na vagnal intercourse. Kwahiyo tuwe waangalifu kwa wenza wetu. Sio unakutana tu dada kitaa siku mbili mnaanza mahusiano unaenda chumvini,sio fresh et all.


Wasalaam!!
mambo yote chumvini kaka hakuna mtu kufake utamsikia tuuu am kamiiiiiing!!!!!!,ila lazima uwe mtundu flani siyo kukurupuka utaibiwaaaaa!!!
 
kila kitamu kina madhara yake, iga iga sisi yani ndo wala hatutishiki na madhara yanaayosababishwa na vitendo vya kingono

Hivi huu utumwa wa kifikra kudhani kila kitu 'kitamu' au 'kizuri' basi asili yake sio sisi na tunaiga tuu toka kwa 'wazungu' au sehemu nyingine za dunia itaisha lini? Cunnilingus haijaanza leo ati, ipo centuries na centuries...just because wenzetu (hasa waHindi) walidocument kwa maandishi na michoro haina maana hao ndio waanzilishi na sisi wagiaji tu! Kuna evidence gani kuwa sisi (waAfrica/waTanzania) tukipeana raha kwa mtindo huo basi tumeiga? Au kwa sababu hatutengenezi 'porno' tukasambaza dunia nzima basi tumeiga!

Cha muhimu ni kufuata ushauri wa kitaalam alioutoa Sizinga (Thanks) ili tusipate madhara aliyoainisha, lakini sio kusema we dont deserve that pleasure sababu tu ni kuiga!
 
Sasa mkiacha itakuweje, wengine bila hiyo kitu hatuenjoy! Kuhusu usafi ni swala muhimu na kwenu wanaume pia, some of u guys when we 'go down' tunakutana na bonge la harufu!

Nami nilisoma sehemu, kuwa our things r relatevely safe than mouthes; but we kiss all the time!
 
Mmmmh kumbe ni hatari eeeeh?nilipanga kujaribu aaah ngoja niache tu
 
Back
Top Bottom