Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Raha ya chumvini mwanamke awe msafi, ni unakula kabisa hiyo punane
 
Za usiku wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuchi,yani yamenikuta makubwa nduguzanguni.

Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimaliza mzigo wa uraru lakini Siku chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni koo lilinikauka saaana Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohozi flani ila halitemeki.

Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana bahati nzuri nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously baada ya,mwezi nikapona lile tatizo
ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena.

Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila siyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani
 
Back
Top Bottom