squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Zama chumvini at your own risk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee chumvi inaleta ladha nzuri kwenye chakulachumvi siyo nzuri kwa afya ya moyo na BP
iwe kiasi ikizidi ni tatizo chakula hakiliki.... 😂😂
Hata sukari ikizidi ni mbayaa kila kitu kiasiiwe kiasi ikizidi ni tatizo chakula hakiliki.... [emoji23][emoji23]
kweli kabisa ....
Sasa utaingiaje chumvini kwa mwanamke sio mkeo au mpenzi wako permanent
Hata awe mkeo wa ndoa hupaswi kuingia chumvini kama hamjapima HPV virus.
vipi wanawake nao inawapata kwa njia hiyo?mimi demu wangu asipocheza na mic kabla ya kibano hanielewi kabisaHii ripoti inashtua lakini inasadifu kile kinachoendelea katika faragha nyingi za siku hizi. Kwa hali hii baada ya miaka kadhaa hii kansa ya koo litakuwa janga la taifa.
Niwashauri tuu wanaume tuache kuingia chumvini kwa wanawake ambao hatujui status zao za HPV virus. Pia kwa wanawake muache kuwanyonya waume zenu baada ya kuwa wameshaingiza nanliu zao kunako nanliu zenu.
Kumbukeni Kansa Hailoni.
View attachment 1014161
Chumvini ni wapi eti nasikiaga ila sielewagi.Sasa utaingiaje chumvini kwa mwanamke sio mkeo au mpenzi wako permanent
Hii ripoti inashtua lakini inasadifu kile kinachoendelea katika faragha nyingi za siku hizi. Kwa hali hii baada ya miaka kadhaa hii kansa ya koo litakuwa janga la taifa.
Niwashauri tuu wanaume tuache kuingia chumvini kwa wanawake ambao hatujui status zao za HPV virus. Pia kwa wanawake muache kuwanyonya waume zenu baada ya kuwa wameshaingiza nanliu zao kunako nanliu zenu.
Kumbukeni Kansa Hailoni.
View attachment 1014161
Chumvini ni wapi eti nasikiaga ila sielewagi.
Ni sawa na neno fekero nalo kila nikiuliza maana yake siambiwi sijui kuna siri gani!
Duh basi nilivyoona hiyo comment yako hapo juu nikajua leo nitapata jibu.Chumvini [emoji848][emoji848] mwenyewe hata sipajui
Duh basi nilivyoona hiyo comment yako hapo juu nikajua leo nitapata jibu.
Natumia fribesiksi hapa sina hata bundle ila kama hujui nikipata bando nitajaribu kuingia gugo. Hivi kumbe gugo hata maneno ya kishwahili yapo?Ebu jaribu kuingia gugo jamani
Ebu acha kutunyima utamu bwana vipi wewe
Natumia fribesiksi hapa sina hata bundle ila kama hujui nikipata bando nitajaribu kuingia gugo. Hivi kumbe gugo hata maneno ya kishwahili yapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mama, endelea kufaidi