kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,981
- 4,857
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ndo ufundi wangu asee wengine Hadi wanalia, Kama Kobe taratiiiiiiibuSema kweli jamani
Dada, unamaanisha kupiga deki...!!??[emoji15] [emoji15]Sasa utaingiaje chumvini kwa mwanamke sio mkeo au mpenzi wako permanent
Aiseeee...[emoji45] [emoji45]Ebu acha kutunyima utamu bwana vipi wewe
Kufanya hivyo ni uzembe wa kiwango cha juu sana,unakuta mtu kanunua malaya alafu anazama chumvini....Sasa utaingiaje chumvini kwa mwanamke sio mkeo au mpenzi wako permanent
Kwan mkeo na mpenzi permanent ina tofauti gani na wengine?Sasa utaingiaje chumvini kwa mwanamke sio mkeo au mpenzi wako permanent
Wenzio watakusaidia usihofu, sio lazima uweze wewe
aisee!!! kizazi hiki ni balaavipi wanawake nao inawapata kwa njia hiyo?mimi demu wangu asipocheza na mic kabla ya kibano hanielewi kabisa
Mkuu kuna k sio kabisaWenzio watakusaidia usihofu, sio lazima uweze wewe
Chumvini ni kule UVINZA wanakochimba chumvi.Chumvini ni wapi eti nasikiaga ila sielewagi.
Ni sawa na neno fekero nalo kila nikiuliza maana yake siambiwi sijui kuna siri gani!
unajua mchezo mzima wa mapenzi ni yale mashamsham kabla ya kupachua mtaro,
Tofauti labda mnaweza sema mnawaonea kinyaa
Kama hata ya mkeo utaona haifai Basi kazi unayo. Nikupe pole in advance
HahhaahhahahaKuna mambo ni magumu kuacha acha nife tu
K ni k bwana acha kuchagua k
Hapo inabidi umshangaeKufanya hivyo ni uzembe wa kiwango cha juu sana,unakuta mtu kanunua malaya alafu anazama chumvini....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashindwe kabisa atuache tu tupewe mautamuAiseeee...[emoji45] [emoji45]