Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Shangaa na wewe....

Umeona eti Purple eh? Watu wengine sijui wakoje? Wengine wanazama mpaka kwenye vinyeo wao wanaogopa vikojoleo....khaa!![/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Mungu awahurumie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mkanyage tu kuu utafanyaje sasa labda siku zote anakutegeshea hujui piga mzigo kk
 
Ndugu hili zito naomba
ushauri wenu..
Nipo na binti mmoja mwezi wa pili sasa. Tumefanya mara tatu. Cha ajabu
nilipokutana nae juzi alikuja na cm yake ya mchina amesave clips za
ngono..!

Akaniambia fungua folder X kuna picha. Nami siku sita ifungua. Nikaona
hlo aliloniomba mimi.' nkamwbia ok nimeona kwahyo tuendelee na mambo
yetu.!
Nilipo mshika akaniambia."nifanyie na mimi''.
Mie nikamwambia sijawah na siwezi. Akaniambia eti simpendi na nina
msichana mwingine..
Akanuna nami stimu zikakata kabisa.

Jaman nampenda hyu binti ila hlo analotaka naona linaweza haribu mapenzi
yetu nikishndwa.

Naomben ushauri.. Nakutana nae tena J. Mosi..
kweli mapnz yalikuwa zamani,hapo miezi Miwili tu?
 
Mwezi mmoja huu wa pili kwenye mahusiano.... bado mapema sana kwenda chumvini na sina hakika kama mmepima, manake kule chini utatumia kondom, sasa kwenye mdomo utavaa nini. To me bado ni mapema sana kwa wewe kwenda chumvini, mujuane kwanza ndg yangu usije ukatoka na fungus bure

Ndugu hili zito naomba ushauri wenu..
Nipo na binti mmoja mwezi wa pili sasa. Tumefanya mara tatu. Cha ajabu nilipokutana nae juzi alikuja na cm yake ya mchina amesave clips za ngono..!

Akaniambia fungua folder X kuna picha. Nami siku sita ifungua. Nikaona hlo aliloniomba mimi.' nkamwbia ok nimeona kwahyo tuendelee na mambo yetu.!
Nilipo mshika akaniambia."nifanyie na mimi''.
Mie nikamwambia sijawah na siwezi. Akaniambia eti simpendi na nina msichana mwingine..
Akanuna nami stimu zikakata kabisa.

Jaman nampenda hyu binti ila hlo analotaka naona linaweza haribu mapenzi yetu nikishndwa.

Naomben ushauri.. Nakutana nae tena J. Mosi..
 
Oooh yani nyie bila kunyonywa hiyo mi pipi yenu hamjafanya bado ila nyie kuzama chumvini hadi mkusanye mawazo jf yani ungekuwa wangu nakumwaga fasta najivutia mwenzio ambae si chumvini2 ananyonya had makwapa,miguu.hadi ikweta akiamua
 
Achana naye.Kwani kazi yako ni sex proffesional kama ndio mfanyie na undelee naye kama siyo kazi yako achana naye.Atafute wazoefu wa kufyonza.
 
Umeona eti
Purple eh? Watu wengine sijui wakoje? Wengine
wanazama mpaka kwenye vinyeo wao wanaogopa vikojoleo....khaa!!

alafu utakuta yeye pipi yake anataka inyonywe ila kwa mwenzie mpaka aje
kuomba ushauri![/QUOTE]

pipi zao ndo wanaziona safi,
 
Last edited by a moderator:
Duhh! Lamba tu chumvi akiona utamu umezidi atataka uende uani!
 
kama unampenda na unamuamini jitose tu mwana,si unajua mapenzi sometimes ni uchafu!Try it ukiona mbaya acha, ukinogewa utajuwa mwenyewe uendelee au uache,ni pm nikueleze faida na hasara za hiyo kitu naogopa kutumia maneno mengine inakuwa kama natukana vile wasije wakani-ban bureee.
 
huo ni ujinga
baada ukiuguwa magonjwa ya ajabu ya kuoza meno na kanza nani atakaye kutibu? kuna vitu vya kuiga jamani ala
na kipimo cha kupenda ama kupendwa si hicho,inamaana kesho akiona picha za sodoma na akakueleza itabidi ufuate?
acha mambo ya ajabu bana,
mpe elimu,mweleze madhara ya hayo mambo na kama hata elewa achana nae bado mapema,ipo siku atakueleza umuuwe baba na mama yako ili kuonyesha unampenda
 
Ha ha ha. Yaani demu wako aliona clips na waigizaji wakipiga mikelele ya uongo na kweli akajua kuzamiwa chumvini kuna raha yake!! Mimi nadhani wanaozama chumvini hufanya hivyo kwa sababu na wao wenyewe wanapata stimu. Alternatively, kama concern yako ni hisia za usafi, unaweza kabla ya tendo mkaoga pamoja, ukawa ukimsaidia na kuipika kei sopusopu, baada ya kujiridhisha, unazama kinembeni!!
 
BORA UKAMWACHA TU...HIVI UNAJUA HAPO UNAPOAMBIWA ULAMBE NDO KUNAKUWAGA NA MATOPE KILA MWEZI? UNAJUA HAPO NDO MKOJO HUTOKA KILA SIKU, VIPI KUHUSU UTE?

MTU MSITAARABU AWEZI KUFANYA THAT FOOLISH ACT
Picha za ngono zimewaaribu waafrika wenzangu, magonjwa pia mengi huko mnakotaka kulamb, na discourage sana hizi habit

Nalamba mwaka wa kumi sasa, ikiwa safi kabisa, kipindi cha mwezi kimepita muda sana,,, akyanani ile kitu ni tamu. Jaribu 69, yani huku unalamba na yeye anakula koni! Saaafi kabisa
 
Usikubali upuuzi huo. madhara yake ni makubwa sana mdogo wangu utakufa unajiona maana hao fungus waliopo hapo ni wa hatari!!!!!! usidanganywe na clips za ngono wale watu wanakuwa treated vizuri sana kuua fungus na bacteria ni sio huyo binti ambaye hata antibiotic haijui. unaweza kupata ugonjwa mbaya ambao hautakaa usahau maishani mwako, kwa mfano hao fungus na bacteria wakiingia kwenye mapafu na wasipogundulika mapema tunakuzika mwanangu
Halafu huyo mwanamke inawezekana kuna mahali pengine anapata hiyo huduma ndio maana anahitaji toka kwako pia so mchunguze vizuri maana kama kweli alishafanyiwa hivyo hawezi kuacha maana wanapata raha ya ajabu wakilambwa huko
 
What a dilema am I in..!! Dah. Mapenzi kweli kazi.
 
Back
Top Bottom