Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

duh asubuh yote hii! Kwakwel cjui watz 2nawaza nn!..je 2tafka hv kwel...kwel hiki kizaz cha ccm kta2malza!

tutafika si unajua tena leo ni siku ya kurelax ili kesho tuanze na nguvu mpya
 
lara 1 hebu fanza mambo hapa!mi katika haya mavitu nakuaminia ujue!umekaje lakini dear?umeenda kanisani ?au uliswali ijumaa?
 
Last edited by a moderator:
am addicted na chunvini...to whom i love lakini..na she real enjoy and keep asking it...naenda kansani.
 
am addicted na chunvini...to whom i love lakini..na she real enjoy and keep asking it...naenda kansani.

wow, thanks, ukirudi uje unielezee zaidi,nina mengi ya kuuliza,ok?
 
sorry rais aliongea n wa Tz wote kasoro mm tu ndio ananipigia cmu subiri niongee nae nakuja
 
Mmmh sijawai ona umuhimu wowote ule,yaani aaaaaah hapana aisee it sounds crazy

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hajambo ma dia namshukuru sana Mungu kwa hilo. Leo nimeomba discharge but tuwasiliane zaid.
oh afadhali kama mmeshatoka!poa basi mwaya uguza pole!
mtoa mada nae mpana huyu mtoto sa anataka unaze kushusha manotes saa hizi na upo wodini,af leo jumapili ujue, lara 1 ye kasema juampili anatoa maushauri nasaha tuu!
 
Last edited by a moderator:
I don't know anything about "kwenda chumvini" ....SORRY
BAK si umeulizwa mjibu sasa mjibu!ahahahahahhhhah kwa hiyo we unakula chakula kischo na chumvi?mada zingine bana!kha
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakuna raha yoyote tuipatayo zaidi ya kutaka kuwaridhisha wapenzi wetu. Na ndio maana tunaenda kwa wale tuwapendao na ambao pia ni wasafi.

Kwenda chumvini kunahitaji moyo mgumu na shupavu kama wa Mugabe vinginevyo waweza tapikia kwenye kikojoleo cha binti wa watu.

Ile makitu ni tamu lakini ina sura ya kutisha am telling you me.

Ngoja niwahi sakramenti kwanza
 
mapenzi ni sanaa chafu mkuu...ndani ya sita kwa sita lolote linatokea kaka.....u just imagine umefanya vingapi for love....
Scofied si umesema unaenda kusali best?sa haya yanaanzaje tena?mi najuaga essays zako wewe!hapa huchelewi kutoa demo ahahahhahahhha !mi leo akhu!nakuwa kama lara 1:bolt:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom