Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

usafi upi unausema wakati maeneo hayo wadudu ndo kwao? Hiyo sehemu imeumbwa maalum kushughulikiwa na kifaa maalum (Pe.is) zaidi ya hapo ni uchakachuaji. Madhara yanaweza yasiwe immediate (na hilo ndo linasababisha watu kutojadili madhara), ila fahamu Mungu ameweka mambo kwa kuweka vitu hivyo (mbona kama angejua ulimi ndo kazi yake,....hicho ki..pe.n.s angeweka cha nini na hisia juu yake> Sina hakika yumkini shughuli za kitabibu zikatupatia majibu, lakini inahitaji jitihada mtu kujua alizama chumvini ndo maana amepata mi magonjwa isiyo sababu. Na mwisho usafi n subjective and circumstancial, hasa kama mtu ameshakuwa MLEVI wa chumvini. Ikiwa hivyo ni hatari zaidi.
am not a medical personel,ila as long as partina ni msafi na hana infection sidhani kama ni tatizo.anyway ngoja madoc waje watupe mchango wao wa kitabibu
 
Condom in the ash tray, toothpicking pubic hair, watching DSTV. Oh me what a momentus weekend.
 
hello, ni asubuhi ingine tulivu,natumaini wadau mpo ok.

mimi niana swali hapa naomba kufahamishwa. HIVI UNAPATA HISIA GANI UNAPOZAMA UVINZA? NA JE UNAFANYA KWA MTU UNAYEMPENDA SANA AU? are you really enjoying au unafanya tu kumridhisha umpendae?

asanteni.

Habari za asbh G wangu.
 
halafu hapo umpatie kwa kumpagawisha maeneo yanayompa kichaa walahi atakunyonya mpaka uzimie, hahaa, i remember one day nilikaribia kuzimia, ikabidi jamaa aanze kunipepea... hahahaaa

Ha ha ha ha ungezimia alafu ulimi ukagandamana huko mgodini...buldoza lingemvuta jamaa.
 
halafu hapo umpatie kwa kumpagawisha maeneo yanayompa kichaa walahi atakunyonya mpaka uzimie, hahaa, i remember one day nilikaribia kuzimia, ikabidi jamaa aanze kunipepea... hahahaaa

Ila kuna baadhi ya watu huwa wanapoteza mantiki nzima ya kuingia chumvini.

Jamani kule chumvini kuna raha sana tena sana hasa umpate anaejua kunyonya na kumung'unya Cltrs,unaweza ukajihisi unaelea Kwenye Sayari ya Mars.
 
sasa yale ma mate yote utayatemea kwenye ilo shimo la mdako au nilijaribu siku moja nikameza mate yote nilivomit miezi sita
muhimu kujiandaa mkuu...usithubutu kumeza ni hatari...kumbe umejaribu ehee,shemeji alijisikiaje?
 
Back
Top Bottom