Si lazima ujisafishe kwa kutumia Vidole au sabuni.
Kuna njia nyingine nayo ni hii,
Unachukua kitambaa safi hasa cheupe,unakiweka ktk mlango wa vagina pale ndani kidogo,halafu unaziba Pua na Mdomo,kisha unatafuta kitu chochote kitakachokufanya uweze kupiga chafya labda Ugoro,vumbi au hata Spray.
Unakinusisha puani,ukiona chafya inakuja ziba pua na mdomo kisha tegesha kile kitambaa,kumbuka uwe umechuchumaa,
Hapo chafya ikija itafanya msukumo wa kutoa ule uchafu wa Manii uliokuwa ndani ya Uke uweze kutoka,nao utapokelewa na kile kitambaa,
rudia kama mara 3 kisha jisafishe halafu endelea na mambo yako.
Chezeiya.