Kijana Wa Makamo
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 212
- 116
Natoa ushuhuda wa kutolewa knock out na binti mdogo kabsaaaa pamoja na kwamba nilimwomba japo nimzame chumvini tu ila tutafanya cku nyingine kwa matumaini ya kumlegeza lakini wapi, niliambulia patupu kwasababu pamoja na kuweka kwangu kambi nyetini na kupga vigelegele zaidi ya watu walio katka sherehe, amini ckufanikiwa kumtepetesha hata kdogo hadi nikajiona maujuzi yamekwisha. Nikaja gundua kumbe kazi yake ni kumpga kama gitaaa tu kiunoni kwa mwendo wa minyatooooooo c chini ya dakka 15, najiuliza hadi ss cjui alipatwaga na majanga gani huyu mwenzangu.