Kuzidi kudorora kwa uchumi Kenya, pato la makampuni ya Bima laanguka kwa 61%

kwani uchumi wa kenya unategemea bima?ile siku GDP inakua -ve ndio utasema uchumi wa kenya umeanguka
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Sidhani kama ni muhimu kwa Leo, muhimu ufahamu kwamba " Biashara ya Bima Kenya imeporomoka kwa 61%.
Yaani imeporomoka kwa 60% na bado ni mara kumi kubwa kushinda ya bongolala? Kweli bongolala ni bongolala. 😅 😅 😅
 
Tatizo la Kenya ni kwamba "section of Agriculture sector" inayochangia hiyo 25% ya GDP ni ile inayomilikia na watu wachache matajiri wanaolima chai, maua, na mananasi, yaani sio wale wakulima wanaotengeneza 80% ya wakenya wanategemea KILIMO, kwahiyo hata kama KILIMO kikikua huko kwenu, hakuna msaada wowote kwa " peasants", itabaki ni ukuaji wa KILIMO kwa ajili ya "statistics" sio kwa kuwafikia wakulima wadogo wadogo.

Tanzania 99% ya mazao tunayouza nje ya nchi kama, pamba, kahawa, chai, Tumbaku, korosho, mahindi, mchele, matendo, vyote hutoka katika mashamba ya wakulima wadogo wadogo, kwahiyo ukisikia KILIMO kimechangia GDP by 30%, maana yake hiyo pesa yote imeenda katika mifuko ya wakulima kule vijijini, sio mifukoni mwa watu wachache wenye mashamba makubwa ya chai, maua na mananasi.
 
Yaani imeporomoka kwa 60% na bado ni mara kumi kubwa kushinda ya bongolala? Kweli bongolala ni bongolala. [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ndio sababu nikakupa ule mfano wa "Speed and Distance", kwa bahati mbaya uwezo wenu wa akili ni mdogo, sina uhakika kama unaweza kuulewa.
 
Ndio sababu nikakupa ule mfano wa "Speed and Distance", kwa bahati mbaya uwezo wenu wa akili ni mdogo, sina uhakika kama unaweza kuulewa.
Boss, Tanzania is growing from a lower base point hence might appear to be growing fast but you will slow down when you reach where Kenya is and by then Kenya will be miles ahead. It is called the normal growth curve but what do you know about Mathematics?
 
Ndio sababu tunasema kwamba uwezo wenu wa kufahamu mambo ni mdogo sana, ni hiyo ndio sababu kubwa ya uchumi wenu kuporomoka.

There are two terms in Economics;

1)Economy which starts from lower base, this has got nothing to do with the economic growth rate.

2) Economy maturity; Yes,this affects growth rate of economy.

Tell me about Kenyan economy, is it matured economy?, what things make economy to be matured?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…