Wizara Maendeleo ya Jamii New Member Joined Apr 10, 2023 Posts 3 Reaction score 2 Apr 11, 2023 #1 TANGAZO KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anayatangazia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuwasilisha taarifa zao za mwaka 2022 na kulipa ada. Mwisho wa kulipa ada na kuwasilisha taarifa ni tarehe 15 Aprili, 2023. Baada ya tarehe hiyo malipo yote ya ada yatalipwa na faini. Ada na taarifa ziwasilishwe kupitia mfumo wa nis.jamii.go.tz kwa kutumia akaunti za mashirika. Mawasiliano: 0737569583/84
TANGAZO KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anayatangazia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuwasilisha taarifa zao za mwaka 2022 na kulipa ada. Mwisho wa kulipa ada na kuwasilisha taarifa ni tarehe 15 Aprili, 2023. Baada ya tarehe hiyo malipo yote ya ada yatalipwa na faini. Ada na taarifa ziwasilishwe kupitia mfumo wa nis.jamii.go.tz kwa kutumia akaunti za mashirika. Mawasiliano: 0737569583/84
Farolito JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 12,001 Reaction score 27,175 Apr 11, 2023 #2 Hivi Wizara mnafanya ukaguzi wa kina kweli nyie kujua hizi NGO zinafanya Yale yaliyokusudiwa humu nchini? Au majukumu yenu ni kukusanya ada na Faini tu? Ripoti ya Mwakyembe mmeifanyia kazi?
Hivi Wizara mnafanya ukaguzi wa kina kweli nyie kujua hizi NGO zinafanya Yale yaliyokusudiwa humu nchini? Au majukumu yenu ni kukusanya ada na Faini tu? Ripoti ya Mwakyembe mmeifanyia kazi?
mandawa JF-Expert Member Joined Feb 6, 2015 Posts 772 Reaction score 1,119 Apr 11, 2023 #3 Farolito said: Hivi Wizara mnafanya ukaguzi wa kina kweli nyie kujua hizi NGO zinafanya Yale yaliyokusudiwa humu nchini? Au majukumu yenu ni kukusanya ada na Faini tu? Ripoti ya Mwakyembe mmeifanyia kazi? Click to expand... Wafanyie ukaguzi saa ngapi? Wangekagua hayo nashirika yaliyotajwa mwakyembe yengekuwepo? 😁😁
Farolito said: Hivi Wizara mnafanya ukaguzi wa kina kweli nyie kujua hizi NGO zinafanya Yale yaliyokusudiwa humu nchini? Au majukumu yenu ni kukusanya ada na Faini tu? Ripoti ya Mwakyembe mmeifanyia kazi? Click to expand... Wafanyie ukaguzi saa ngapi? Wangekagua hayo nashirika yaliyotajwa mwakyembe yengekuwepo? 😁😁
Rashidi Jololo JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 1,704 Reaction score 2,858 Apr 20, 2023 #4 Hawa wapuuzi wamejikita kupokea ada tu, hopeless kabisa