Kuzimia baada ya kufanya tendo la ndoa

Senior masai

Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
88
Reaction score
89
Habari wana JF,

Mimi shida yangu moja, nina msichana wangu, kila nikishiliki nae tendo ile mwishoni kumekaribia anazimia kabisa nikimuacha baada ya muda kidogo hivi anazinduka, nikimuuliza kama anajisikia vipi sijui ananidanganya, sababu ananiambia anajisikia poa na wala hakuzimia.

Mimi nataka nimkache( nimuache).

Vipi huo ni ugonjwa au vipi asije nletea msala hapa.
 
Wanawake wanatofautiana sana kufika mawenzi. Usikariri
 

Maadam ushajua tatizo lake we endelea nae tu ila jua umeegemea mlango wa gereza la ukonga..... mlango ukifunguliwa tu paap uko ndani.
 
Maadam ushajua tatizo lake we endelea nae tu ila jua umeegemea mlango wa gereza la ukonga..... mlango ukifunguliwa tu paap uko ndani.
Dah mwangu kila nikitafta namna kumuacha mwangu analia kinoma hadi washkaji wananizngua, na unavoniambia tena ukonga duuh unanichanganyaaa, naomb soln sio kunisutaa
 
Mkuu hapo ulipoandika herufi "x" umemaanisha hefuri "s"? Yaani ulimanisha "anajisikia" (anajixki)..
Kama ni hivyo naomba kukuukiza, je, ulikosea kuandika au ulidhamiria kuandika hivyo?
Kama ulidhamiria naomba kukuuliza je, lengo lako lilikua nini? Je ni kuokoa muda kwa kupunguza idadi ya herufi?

Nikirudi kwenye mada yako naomba nikuulize huyo demu wako ana matatizo ya pressure?
Mi nilikutana na demu flani katikati ya machezo alikata network ghafla. Akawa anahema juujuu nikimuuliza haongei chochote.

Nikamstua mgoni mwenzangu ambaye ni Dr. Alipokuja kumchek akasema ni pressure na akagundua ni yakushuka (sina uhakika kama ilisema ya kushuka au kupanda). Ila nilinunua soda Coca-Cola akanywa akarudi ktk hali yake. Baadae akakiri kuwa anatatizo la pressure. So ikawa kila akija geto naandaa Coca-Cola moja au mbili then tunapiga show.
 
Ni kuokoa mda man, afu mtoto mwenyew kaniambia hana tatzo km hlo cz nishawah fikiria kitu km hcho, dah mwangu ni mtamu ety kama ni coca mbn naweka kreti ndanii;!? Na vp ukishampa hyo soda anaznduka mda gn!? Cz wangu anaznduka baadae sana hadi anachelewa kurudi hm, na anakuja ananiambia acha nizimie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…