Kuzimia baada ya kufanya tendo la ndoa

Mpunguzie mapigo anaweza akapitiliza
unadhani ni raha inakua imepitiliza kipimo?

kuna jamaa yangu wa kwake alizima na baada ya muda miguu ikaanza kupoteza joto...

kilicho tokea baada ya hapo siwezi sema ila mwisho wa stor ni kuwa kuna mama muuguzi mmoja ndie aliye saidia binti kuzinduka (hapo dr wa kiume amesha mpiga drip za kutosha bila mafanikio yoyote)

alicho fanya huyo mama ni kumvua blauz aliokua amevaa na kuanza kufinya finya chuchu kwa namna anayo ijua yeye baadae akamkandamiza kwenye diaphragm sijui ndo mnaita chemba moyo yenyewe binti akazinduka.

itaendelea baadae........
 
Kwahyo ndo wanazimiaga;!? Wakfka hukooo?! Na mbn x wangu wa kwanza hajawah zmiaa!!? Kwanz ni maskangaga, nipe jibu bx sio kunipa info
Unaelewa unavyo ambiwa "wanatofautiana" lakini? Usimfananishe X wako na huyu wa sasa
 
Duuuh skendo hzo yani duuh mpk unamtoa geto mpk kwny taxi duuh bora niokoke aise
 
Mkuu, kumbe Coca-Cola inasaidia kwa mtu mwenye Pressure? Au soda yoyote tu?
 
Maadam ushajua tatizo lake we endelea nae tu ila jua umeegemea mlango wa gereza la ukonga..... mlango ukifunguliwa tu paap uko ndani.
We jamaa umenichekesha mbele za wakwe. Nimeulizwa mbona nimekauka mbavu nimeshindwa kujibu. Navuta fegi nje sasa hivi wala sijaegemea mlango wa kwa wakwe.
 
Nendeni pamoja kwa daktari atawasaidia na tatizo hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…