Kuzimia baada ya kufanya tendo la ndoa

We jamaa umenichekesha mbele za wakwe. Nimeulizwa mbona nimekauka mbavu nimeshindwa kujibu. Navuta fegi nje sasa hivi wala sijaegemea mlango wa kwa wakwe.
Hahahahaha mwnyew huyu jamaa kaniacha hoi utaachaje kucheka post ya mtu kachanganyikiwa
 
Anaznduka baada ya muda flan hv ila kwa kuchelewa
Dogo binafsi unaniboa namna unavyoandika ujumbe wako, kwanini vijana mnakuwa lazy hata kuandika, sisi wengine tungependa kuona unaandika jumbe iliokamilika sio kujiandikia Coz ukiaminii wote tutakuelewa, Umekalia Kuti kavu, mpeleke kwa Daktari huyo binti akapimwe, siku akikufia utakwenda gerezani bila kutarajia, mna umri gani wewe na yeye ?.
 
Maadam ushajua tatizo lake we endelea nae tu ila jua umeegemea mlango wa gereza la ukonga..... mlango ukifunguliwa tu paap uko ndani.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli kabisa siku akifa mazima ajiandae kwenda jela
 
Nendeni pamoja kwa daktari atawasaidia na tatizo hilo
Nilimshauri anagoma kbsa kwamb hawez kwenda. Cz atashndwa kueleza na hatak nikaeleze mm, aloo mm naokoka bwana kwanz kdg bi mkubwa anisanukie
 
Sorry for this bro nimeipata nishalirekebisha,, Ana 19 mm Nina 21
 
Sio kwa ubaya mkuu bali kupata maelezo yake ya awali kama ww ulivyotoa maelezo yako ili nipate pakuanzia na kujua kiini cha tatizo mkuu
Naelewa hilo ila ipo hivi mwenyewe nimeomba huu ushauri huku hajui nilimshauri haoneshi ushirikiano kwamba hilo ni tatzo angeonyesha ushirikiano kwamba hlo ni tatzo ningezitoa apate ushauri Bt anasema haendi check ups,,, ila bro usihangaike, kuna maamuzi ya busara ya kumuacha
 
Sorry for this bro nimeipata nishalirekebisha,, Ana 19 mm Nina 21
Mpeleke kwa Madaktari akapimwe, usilete ubishoo hapo, mtu anapozimia huwa kuna uwezekano mkubwa sana wa kupitiliza hasa pale ambapo mnakuwa hamjui nini tatizo lake, kama ni Moyo ana hatari kubwa zaidi.
 
Huyo ni saizi yangu! Mlete huku kwangu!!!
 

Mkuu utakua hujamtendea haki.imagine angekua ndio bint yako anaachika kwa tatizo hilo bila kufanyiwa kiini cha tatizo ungejisikije mkuu
 
Inakuwaje mtoto wa kiume unaandika "tyuu" badala ya "tu", x badala ya s?
Greencity usishangae, nimekuona nikiona mara kwa mara watu wanaandika tyuu badala ya tu, sijui wana nia gani na lugha yetu hawa kizazi ch sasa !!
 
Mkuu utakua hujamtendea haki.imagine angekua ndio bint yako anaachika kwa tatizo hilo bila kufanyiwa kiini cha tatizo ungejisikije mkuu
Ngoja nikimwita geto lazima atatokea afu nimpange then ntakurudia bro la sivyo ni ngumu kutoa namba aise
 
Mkuu utakua hujamtendea haki.imagine angekua ndio bint yako anaachika kwa tatizo hilo bila kufanyiwa kiini cha tatizo ungejisikije mkuu
Ngoja nikimwita geto lazima atatokea afu nimpange then ntakurudia bro la sivyo ni ngumu kutoa namba aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…