Habari wana JF,
Mimi Nina shida moja, Nina msichana wangu, kila akinimegea ile mwishoni kumekaribia anazimia kabisa. Nikimuacha baada ya muda kidogo hivi anazinduka, nikimuuliza kama anajisikia vipi cjui ananidanganya, sababu ananiambia anajisikia poa na wala hakuzimia.
Mimi nataka nimkache( nimuache).
Vipi huo ni ugonjwa au vipi asije nletea msala hapa.
Majibu yenye utata. Miamba ya JF mnatisha zaidi ya wafu.Hilo Tatizo lake umewahi kumuuliza mama yake?
Nimegundua dawa nzuri ni kumuacha tuu hapo nitakuwa safe kabisaaSiku nyingine akizimia jaribu kumwagia maji
Nimegundua dawa nzuri ni kumuacha tuu hapo nitakuwa safe kabisaa
Ucwaze fazapamoja na yote, dogo una mwandiko mbovu kichizi, jitahidi ku'behave kiume basi maana hizo mambo za kike kutumia 'x' badala ya 's' kuandika 'tyuu' badala ya 'tu' sio mpango wala nini.
Huyo kama ni Mke si tatizo kubwa lakin kama ni demu huliwezi, labda uachane naye aka deal nalo then Umuoe, sidhan kama kuna ugonjwa hapo zaid ya Masheitwan a.k.a mapepoHabari wana JF,
Mimi Nina shida moja, Nina msichana wangu, kila akinimegea ile mwishoni kumekaribia anazimia kabisa. Nikimuacha baada ya muda kidogo hivi anazinduka, nikimuuliza kama anajisikia vipi cjui ananidanganya, sababu ananiambia anajisikia poa na wala hakuzimia.
Mimi nataka nimkache( nimuache).
Vipi huo ni ugonjwa au vipi asije nletea msala hapa.
Ngoja kakubali jumanne tukacheki afya @selian then nitawapa feedbackHuyo kama ni Mke si tatizo kubwa lakin kama ni demu huliwezi, labda uachane naye aka deal nalo then Umuoe, sidhan kama kuna ugonjwa hapo zaid ya Masheitwan a.k.a mapepo
Ufanye haraka tunasubiri mrejesho hapaNgoja kakubali jumanne tukacheki afya @selian then nitawapa feedback
Wadau nilifanikiwa kwenda hospitali kwa check ups na huyo dada, tulifanyiwa vipimo wote na baada ya hapo ikawa hivi, alianza kwa kutoa sababu za kuzimia kwamba inawezekana ni uume mrefu kwmb mwishoni unagusa cervix unafanya blood pressure kuwa kubwa, pia kuna matatizo ya pressure, hata kifafa pia na pia kuna mambo ya kufirika pia yanachangia afu then pia kurithi, hata pia pumu inasababisha, mengne ngoja nikumbuke cz dokta alikuwa ananipa ushauri wa kuacha haya mambo ndo kamwita sister chemba kumshauriUfanye haraka tunasubiri mrejesho hapa