Urusi ilimpiga Hitler ( kwa mujib wenu ) leo anachukua mwaka na miez na migogor inaingia nchini mwake , je mtajitua wehu hadi lin kwa vitu vinaonekanaNi mtu mjinga tu anayeweza kufikiri kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi ilimpiga Hitler ( kwa mujib wenu ) leo anachukua mwaka na miez na migogor inaingia nchini mwake , je mtajitua wehu hadi lin kwa vitu vinaonekanaNi mtu mjinga tu anayeweza kufikiri kama wewe.
Hawa jamaa jana km hakuna pro Russia humu [emoji23]Pro Russia mme toka mafichoni mlipotea kabsa jana
Tusubiri tuone.Uasi umeonyesha nyufa nyingi kwenye jeshi LA Urusi na Putin. Anachoweza kufanya Putin kwa sasa ni ama aende kwenye meza ya mazungumzo na Ukraine wamalize vita alivyoanzisha au atumie silaha za nyuklia,,,kwa silaha za kawaida hawezi shinda.
Akitumia nuclear na yeye ajiandae kuzama.
"Amwagaye tope naye humrukia"
Belarus ilimsihi Sana aache uasi. Kwa hali ilivyo majenerali wa urusi hawawezi kufanyakazi tena na kiongozi muasiHabari zake haziko wazi. Kwa maneno yake mwanzoni haioneshi kuwa alijisalimisha. Na Belarus hajafika au hajaonekana.
Kuna hoja kwa wanao Amini.[emoji56][emoji56]Habari zake haziko wazi. Kwa maneno yake mwanzoni haioneshi kuwa alijisalimisha. Na Belarus hajafika au hajaonekana.
Nilimuona zelesky jana akisema eti Putin atakuwa anatetemeka na anaogopa na anauhakika Putin kashakimbia na hayupo Moscow! 🤣🤣🤣Ule msafara wa waasi wa Wagner kuelekea Moscow kweli ulitisha japoj wengi wetu tunaofuatilia vyema vita hivi tulijuwa hautofika mwisho wa safari.Namna ambavyo ungezimwa ndio tulitofautiana,ni kwa kupigana au kwa njia ipi.
Ukraine na NATO walishangilia sana na kuanza kuongeza petroli kwenye moto kupitia propaganda kwa kuzusha ya ziada.Marekani kupitia Pentagon ilisema wao walikuwa wakifuatilia kwa makini mwenendo mzima wa majibizano ya Prigozhin na makamanda wa Urusi.
Hata hivyo kuzimwa kwa uasi ule umeonesha kwa mara nyengine jinsi gani Putin alivyo mwamba kwenye vita hivi na imeongeza nguvu na moyo wa mapigano kwa jeshi la Urusi. Kwa upande mwengine umeongeza hofu kwa Zelensky na washirika wake wa NATO.
Hata kama kungekuwa na uasi uliofanikiwa basi usingepaswa kuongozwa na Prigozhin mtu ambaye kichwani ni mkavu sana katika historia na hana hekima katika matamshi yake.
Sahihi kabisa....hii Vita imeshakuwa shubiri chungu kwa Urusi na Putin.Urusi ilishapoteza uelekeo siku nyingi sana, kwa wenye akili na waona mbali tulishajua ila kwenu nyie wajinga ndio mnababaika na kuleta viuzi vyenu humu vya kitoto
Utaona huo uhusiano muda ukifika usiwe na haraka.Sion uhusiano wa unayoandikwa
Muda mliopanga si ulipita , sasa mnajivamia ili iliweje tena mbona kama mmewehuka Putin na watu wakeUtaona huo uhusiano muda ukifika usiwe na haraka.
Asubuhi njemaMuda mliopanga si ulipita , sasa mnajivamia ili iliweje tena mbona kama mmewehuka Putin na watu wake
Hivi ushawahi kwenda vitani? Russia uzuri wake akipigana hataki wapambe kama marekani.Urusi ilishapoteza uelekeo siku nyingi sana, kwa wenye akili na waona mbali tulishajua ila kwenu nyie wajinga ndio mnababaika na kuleta viuzi vyenu humu vya kitoto