MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Unajua ndugu ni rahisi sana kutoa kauli zisizo na adabu ili upate sifa au umaarufu. Mungu ni mwema kila wakati, si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa rehema. Utakuja kujua hujui.Mimi mungu hanisaidii kwa jambo lolote, hajawahi kunisaidia, na sihitaji anisaidie kwa lolote!
kagari kangu mwaka wa tano huu hakajaniletea ajali yeyote. Na pia nasafiri sana safari za usiku tenda za umbali mrefu 700+km sijakutana na mauzauza.Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako?
Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto
Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako?
Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto
Kwa hiyo zindiko ndio linaweza kusaidia eennhh??.Mungu hawezi kukusaidia kwenye ajali.
Angekuwa anasaidia kuepusha ajali basi kungekuwa hamna ajali.
Maana kila siku watu wanamuomba.
Basi mwenzio Mungu amemsaidia hajawahi kupata ajaliMimi mungu hanisaidii kwa jambo lolote, hajawahi kunisaidia, na sihitaji anisaidie kwa lolote!
Wewe gari lako umlifanyia zindiko/kafara?Gari jipya linaponunuliwa lazima lifanyiwe kafara.
Especially mabasi na malori ya masafa marefu..waarabu,wahindi na baadhi ya makabila .
Wengine wanafunga zindiko kama vitambaa au chochote kwenye matairi.
Au angalia mbele kwa dereva..
Si ajali zote za kimungu kuna zingine wanatengeneza binadamu.. kwa ajili ya kafara zao za biashara.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako?
Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto
Mimi sina gari mkuu.Wewe gari lako umlifanyia zindiko/kafara?
Unajua ndugu ni rahisi sana kutoa kauli zisizo na adabu ili upate sifa au umaarufu. Mungu ni mwema kila wakati, si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa rehema. Utakuja kujua hujui.
Mkuu Mambo haya Africa yapo Sana.Vitambaa vinazuiaje ajali? Mambo mengine ni ujinga mwingi sana. Gari ni chombo cha kisayansi na suluhisho la matatizo yake lazima yawe ya kisayansi. Mfano mdogo tu, baada ya mabasi kuwekewa gadgets za ku- limit speed, ajali zimepungua sana. Hayo mambo ya zindiko ni upuuzi tu
Ingia barabarani bila kuzindika ili uone kama kweli kuna maluelue.Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako?
Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto
Mpinga Kristo unajitahidi sana kutetea upagani wako, lakini sisi tuliowahi kupewa hadi vitisho vya ajali za kutengenezwa kimakusudi na kichawi kisha Mungu alisimama pamoja nasi tukaepushwa nazo, tusemeje sasa kwa huo ukuu wa Mungu?[emoji848]Mungu hawezi kukusaidia kwenye ajali.
Angekuwa anasaidia kuepusha ajali basi kungekuwa hamna ajali.
Maana kila siku watu wanamuomba.
Wazee wa mazindiko watakwambia matambiko yanalipa ilihali bado wananuka mikosi kibao hadi aibu pamoja na mbwembwe zote hizo [emoji847]Dah hivi bado watu wana imani za kishirikina?
Malizia basiMkuu Mambo haya Africa yapo Sana.
Kama madereva wanaona mauzauza wakiwa kwenye usukani,
Je bado unaamini ajali hazitengenezwi??
--Hivi ushajiuliza kwa nn madereva wa magari ya mbali wanavaa ringi za Shaba mkononi?
--ushajiuliza kwann madereva wanapoendesha magari usiku wanapenda kuwe na mtu pembeni wanazungumza na kutia story?
Huwa hawapendi kuendesha peke yao huku watu wote ndani ya gari wamelala.
--kwann ajali nyingi za usiku hutokea dereva akiwa peke yake?
Ushuhuda..
siku moja,,nilipanda bajaji ya jamaa fulani usiku mida kama saa Saba hivi nikirudi zangu home.
Tukiwa kwenye mwendo wa Kasi,,tukapita mahali fulani kwenye kona tukakutana na Lori mbele yetu na basi linatanua huku likija kwetu kwa kasi ya ajabu sn kuelekea tulipo..
Mimi na dereva tulifumba macho kwa kujuwa ndy mwisho wa maisha yetu.
Mwanzo dereva alitaka aende kwenye korongo ili aepuke kugongana uso kwa uso na either Lori au basi ..
Nikamwambiya usipinde popote nyoosha usukani huenda jamaa wakatukwepa,
lakini tulishachelewa tukawa katikati ya yale magari mawili yaliyotokea mbele yetu ghafla,
Tulimulikwa kwa taa Kali hadi tukachanganyikiwa..
Dereva mikono ilikufa ganzi kwa hofu ya kifo huku tunajiona.
Tukabali kusali sala za mwisho za kuomba toba.
Kilichofata ni ajabu kabisa......
Hadi leo naamini Mambo hya yapo,,na walozi wapo.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
mhhMimi mungu hanisaidii kwa jambo lolote, hajawahi kunisaidia, na sihitaji anisaidie kwa lolote!
Tuliwekwa kati kati ya Lori na basi mbele yetu.Malizia basi
Ushirikina hautokusaidia zaidi ya ww kuanza kujiandikisha mwenyewe na kutumikishwa kma wanavotakaSamahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako?
Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto