Mkuu Mambo haya Africa yapo Sana.
Kama madereva wanaona mauzauza wakiwa kwenye usukani,
Je bado unaamini ajali hazitengenezwi??
--Hivi ushajiuliza kwa nn madereva wa magari ya mbali wanavaa ringi za Shaba mkononi?
--ushajiuliza kwann madereva wanapoendesha magari usiku wanapenda kuwe na mtu pembeni wanazungumza na kutia story?
Huwa hawapendi kuendesha peke yao huku watu wote ndani ya gari wamelala.
--kwann ajali nyingi za usiku hutokea dereva akiwa peke yake?
Ushuhuda..
siku moja,,nilipanda bajaji ya jamaa fulani usiku mida kama saa Saba hivi nikirudi zangu home.
Tukiwa kwenye mwendo wa Kasi,,tukapita mahali fulani kwenye kona tukakutana na Lori mbele yetu na basi linatanua huku likija kwetu kwa kasi ya ajabu sn kuelekea tulipo..
Mimi na dereva tulifumba macho kwa kujuwa ndy mwisho wa maisha yetu.
Mwanzo dereva alitaka aende kwenye korongo ili aepuke kugongana uso kwa uso na either Lori au basi ..
Nikamwambiya usipinde popote nyoosha usukani huenda jamaa wakatukwepa,
lakini tulishachelewa tukawa katikati ya yale magari mawili yaliyotokea mbele yetu ghafla,
Tulimulikwa kwa taa Kali hadi tukachanganyikiwa..
Dereva mikono ilikufa ganzi kwa hofu ya kifo huku tunajiona.
Tukabali kusali sala za mwisho za kuomba toba.
Kilichofata ni ajabu kabisa......
Hadi leo naamini Mambo hya yapo,,na walozi wapo.
Sent from my M2101K7BG using
JamiiForums mobile app