utamuona tu hata kwenye 6 by 6 vile ulivyomfundisha ndivyo hivyo hivyo! habadiliki wala hasugui ubongo kufikiri, ila hapa hapa nitajipinga tena, niliwahi kuwa na mtu wa engineering pale, i used to get close to those pipo there coz my dad ni lecturer mpaka leo pale, so i had this guy, lecturer as well! in intensions za kuendelea kubaki ud, kuolewa na kuishi ud coz niekuwa raised kule mpaka naolewa. but this guy was '0' in bed jamani. UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIII kila ninavyomfundisha ni hacoupe kabisa, but alinipenda sana, na hajaoa mpaka leo coz of me. tuki-kiss anafumba machoooo weeeee mpaka! lolest nikabwaga manyanga nikasepa,!