Kuzingatia "vichwa": Wanawake sio ubaguzi huu??

Kuzingatia "vichwa": Wanawake sio ubaguzi huu??

mimi nataka mrefu mweusi awe na mvuto maana mimi sina kuviile
ila division ziro hapana kwa kweli......
ziro ni noma heri lasaba wazazi wakakosa ada
......
Smile nimecheka sana! Naunga mkono hoja kwa asilimia zote! Bora asiwe na mvuto lakini sio bongolala! Bongolala wa kiume ni noma! Asikuambie mtu.
 
Last edited by a moderator:
Sasa we unataka watu wawaandae kabisa watoto wao kuwa wazembe?

Alafu eti unasema ubaguzi. . .mbona nyie wanawake hua mnachagua (kwakuzingatia yale mpendayo) na sio mnachukua chukua tu?
Ehehehhe!!... Mwanamke kamili kwahiyo ile Division four yangu niliyoambulia Form four hai meet ur requirements? Mwanaume kamili siyo mzembe bana ni matokeo tu ya Darasani lakini mtaani si haba.
 
Kumbe hii kitu ipo serious namna hii! Sasa wale wanaofaulu kwa kuiba pepa na kudesa inakuwaje hapa! Si unaweza ingia chaka!?

utamuona tu hata kwenye 6 by 6 vile ulivyomfundisha ndivyo hivyo hivyo! habadiliki wala hasugui ubongo kufikiri, ila hapa hapa nitajipinga tena, niliwahi kuwa na mtu wa engineering pale, i used to get close to those pipo there coz my dad ni lecturer mpaka leo pale, so i had this guy, lecturer as well! in intensions za kuendelea kubaki ud, kuolewa na kuishi ud coz niekuwa raised kule mpaka naolewa. but this guy was '0' in bed jamani. UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIII kila ninavyomfundisha ni hacoupe kabisa, but alinipenda sana, na hajaoa mpaka leo coz of me. tuki-kiss anafumba machoooo weeeee mpaka! lolest nikabwaga manyanga nikasepa,!
 
Zamani nilikuwa mkali darasani mapenzi yakanitoa namba moja darasani daa nikikumbuka huwaga nalia ila sio mbaya nina ka degree kangu kauzushi sijui na mimi nitatengwa?
 
wewe watafuta nani.engeneer,architect,dokta,au kamwalimu ka chekechea?

mmh....mimi nimevutiwa na huyo docta wako....napenda sana madoc....kwa sababu ni wa mkakati....najua ukimalizana nae utanipigia pande....
 
Ila ndo maana wanasayansi wanashauri kabla ya kuoa uangalie history ya familia. Mie nimeamini its true. We unaoa mwanamke kashindwa shule, kichwa ya biashara hana, unataka nini hapo? Unazaa mataahira!

tena yale ambayo hata maombi ya TB JOSHUA hayatafua dafu! full mataahira!
 
nimependa hiyo aidia ya dada....katumia akili sana.....
I see!!....sikuwahi kuwaza kwamba Maisha yanaweza kuwa complicated this much. anyway na mimi wacha niandae vigenzo vyangu nadhani siwezi kuoa wala kuzaa na msichana ambaye ukoo wao hawana atleast Maprofesa wawili na angalau PHD Holders watano, na Baba mkwe angalau kazini kwake awe kwenye level ya umeneja kama siyo CEO.
 
hiyo idea ya huyo dada ni nzuri sana,na kama kuna ukweli fulani.maana sometimes unaiona familia,baba ana kazi nzuri,na ana elimu yake.na watoto wake wote wanafanya vizuri mashuleni.wanachofundishwa,automatic wanakielewa bila ya kuhangaika kusoma.
 
mmh....mimi nimevutiwa huyo docta wako....napenda sana madoc....kwa sababu ni wa mkakati....najua ukimalizana nae utanipigia pande....
usijali preta... Jamaa aliniacha form one form four ana wani ya saba,six ya tatu .... Ukijumlisha ya kwangu ya kumi na tano na ya 7 six katoto ketu katakuwaje?
 
Halafu kweli wanaume ambao kwa darasa sio vizuri hata mahusiano yao sio mazuri hawajui mapenzi kwa kweli(simaanishi kitandani
utaenjoy kwa kweli....
 
hiyo idea ya huyo dada ni nzuri sana,na kama kuna ukweli fulani.maana sometimes unaiona familia,baba ana kazi nzuri,na ana elimu yake.na watoto wake wote wanafanya vizuri mashuleni.wanachofundishwa,automatic wanakielewa bila ya kuhangaika kusoma.
Kwahiyo Mwanahasha tatizo wapi hasa!? ni yule mmachinga au Mkwerre?
 
Halafu kweli wanaume ambao kwa darasa sio vizuri hata mahusiano yao sio mazuri hawajui mapenzi kwa kweli(simaanishi kitandani
utaenjoy kwa kweli....
This is insult, is more than too much.
 
Ingawa alisimamia sana hoja yake, but mwishoni mi nilibaki na msimamo wangu kuwa huo ni ubaguzi kwani tukiangalia mambo kama hayo, wale 'mabongolala' tutakuwa extincted.

Kama kuna mwanamke ana mawazo kama haya humu, naomba tu ayaache, na aache ubaguzi...

Panapo red ndio lengo hasa! Ya nini kuijaza dunia vilaza?

Wakati nipo chuoni wanafunzi walikuwa wanamchukia prof. mnoko kwenye somo lake la "land law". Prof. alikuwa anapenda kuonyesha kuwa land law ndio somo gumu kuliko yote kwa masomo ya sheria. Basi wanafunzi wakawa wanamalizia hasira zao kwa kumtukania wanae kuwa amezaa watoto wote vilaza japo yeye ni mkali wa sheria. Wanafunzi wa kiume wenye kumtetea wakadai kuwa watoto wamefuata akili ya mama yao. Ubishi kati ya wanafunzi wa kike na hao wa kiume kidogo usababishe ugomvi mkubwa.
 
Ehehehhe!!... Mwanamke kamili kwahiyo ile Division four yangu niliyoambulia Form four hai meet ur requirements? Mwanaume kamili siyo mzembe bana ni matokeo tu ya Darasani lakini mtaani si haba.

JB WISER
Hahahahahaha usijali bana mwanaume kamili we umefikia kiwango, na vigezo vyote vilizingatiwa. Unajua 'kichwa' hakipimwi kwa a, e, i, o, u tu. Hizo wapo waliokariri tu na sio wanajua kwahiyo sidanganyiki nao. Kichwa cha ukweli ni kile kilichofaulu elimu ya mtaani kama cha mwanaume kamili.
 
Last edited by a moderator:
Ila ndo maana wanasayansi wanashauri kabla ya kuoa uangalie history ya familia. Mie nimeamini its true. We unaoa mwanamke kashindwa shule, kichwa ya biashara hana, unataka nini hapo? Unazaa mataahira!

very true, hapo umenena.
 
Back
Top Bottom