Ni penati sasa...
Ona hawa watangazaji wa Azam TV....Eti Yanga lazima watafungwa penati kwa sababu si wazuri kwenye penati...Wtf
Mambo mawili tu mkuu, washabiki wa yanga Tulikuwa na hofuMbona jukwaa lilipooza sana hapakuwa na live update kulikoni??
Yatakuwa yale yale ya Kagame!!
Hongereni wana wa Jangwani, hakika mmeonyesha kuwa ya jana si ya leo
Kilimilimi cha Azam na shoga yake Simba tumekikata rasmi. Mjini pametulia, sasa tuendelee na kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.