Kuzomeana kwa Simba na Yanga katika mechi za kimataifa hakuna faida zaidi ya hasara

Walau tuliweka heshima kucheza fainali ya Shirikisho. Ebu niambie hatua yako kimataifa halafu tuone
Siku zote bingwa ndiyo hukumbukwa. Runners up sio ubingwa. Safari ya Kigoma ni kufika Kigoma. Haijalishi umerudia Moro au Tabora. Hujafika Kigoma!
Yanga tunaangalia the ultimate price. Hatujafanikiwa kama wengine!
 
Wewe uko timamu kweli?
Umeelewa maana yake?
Soma post zilizofuata utapata jibu. Hapa JF inabidi usome mtiririko wa thread ndiyo u comment. Sio FB huku.
Ndege mara tatu maana yake round ya tatu etc.
 
sio zile za mafeni.
 
Lazima upande sana ndege kupata mataji


Kwahiyo Nyie Yanga Munaopanda Ndege Kila Mwaka Na Kurudi Mikono Mitupu Mukiwa Mumebakwa Huwa Mataji Yenu Munayobeba Kwa Kupanda Ndege Munayasahau Kwenye Ndage au?
 
Yanga weanzisha hili, Simba hawana nongwa , Yanga jirekebisheni alfu pia muhame pale bondeni
 
Kwahiyo Nyie Yanga Munaopanda Ndege Kila Mwaka Na Kurudi Mikono Mitupu Mukiwa Mumebakwa Huwa Mataji Yenu Munayobeba Kwa Kupanda Ndege Munayasahau Kwenye Ndage au?
Kwani ulisikia kwamba Yanga kachezea LIBOLO ya Angola?
 
Mashabiki kitu gani. Suala muhimu ni kuiandaa timu vizuri
Mkuu utafiti tayari umeshafanywa siku nyingi na matokeo yake yalionyesha kuwa mashabiki uwanjani ni mchezaji wa 12, na dunia nzima imeshakubaliana na utafiti huo. wewe ni nani ubishane nao bila kufanya utafiti mwingine wa kuupinga ule wa awali? Watu wa aina yako ya kwako wanatugharimu hata kwenye siasa.
 
binafsi nimechoka kulisukia jina la mtu kama Richard Wambura, Rage, Al-Maamry, Hasaniol, madega kwenye soka, Akilimali, dalali, n.k kwenye soka. Wapo miaka nenda ruda soka limebaki palepale. Miaka 100 timu kubwa simba na Yanga hazina dira wala mwelekeo. Lakini kinachonishangaza zaidi kwanini hata Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji, Malawi, na kwingineko hali yetu ya soka inafanana?
 
Tuache pia kutambiana na dharau zisizokua na maana! Mfano jana simba ingeshinda ungemsikia Manara akileta tambo za kijinga na dharau dhidi ya Yanga! Hii ndio husababisha kuzomeana na kushabikia wageni!
Kabisa kabisa....na je wao simba au yanga wakienda huko huwa wanashangiliwa na timu pinzani za timu wanazocheza nazo au ni wale watanzania tu walioko huko au may be wana afrika mashariki kama wanacheza nje ya afrika mashariki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…