Kuzuia mashabiki kuingia uwanjani, Mwafrika ana tatizo la kufikiri

Acheni kulaumu CAF bila sababu za msingi. Mechi ya Simba na Al Ahly, kuna idadi kadhaa ya mashabiki waliruhusiwa, ila kutokana na kutopenda kufuata utaratibu, idadi ilikiukwa, wakaingia washabiki wengi zaidi.

Hii ndio imepelekea uhamuzi huu.
Waliingia wangapi mkuu? yaani idadi ya waliozidi ilikuwa ni watu wangapi? Nini source ya information unayotupatia hapa?
Naomba majibu tafadhali.
 
Waliingia wangapi mkuu? yaani idadi ya waliozidi ilikuwa ni watu wangapi? Nini source ya information unayotupatia hapa?
Naomba majibu tafadhali.
Penda kufatilia habari za timu yako vizuri. Haya maswali yote ungekuwa unayajua.

Pia kwa kuongezea ungekuwa unajua ni nani aliyeripoti ili swala CAF.
 
Yanga wamekuja kwa speed sana kwenye huu uzi kutoka mafichoni....kesho baada ya mechi watarudi mafichoni...mwaka mgumu sana kwao huu.
 
Penda kufatilia habari za timu yako vizuri. Haya maswali yote ungekuwa unayajua.

Pia kwa kuongezea ungekuwa unajua ni nani aliyeripoti ili swala CAF.
Hayo ndiyo majibu ya maswali yangu? kweli kabisa ukifiria mara mbili unahisi hayo maswali yapaswa kujibiwa hivyo ulivyojibu?
 
Hayo ndiyo majibu ya maswali yangu? kweli kabisa ukifiria mara mbili unahisi hayo maswali yapaswa kujibiwa hivyo ulivyojibu?
Mkuu sio jukumu langu kujibu maswali yako, vile ambavyo wewe unapenda ujibiwe.

Nilipost nilichokiandika kule juu kabisa kwa lengo la kumpa hint aliyeanzisha uzi, sababu hasa ya kutokea kwa kilichotokea.
 
Mkuu sio jukumu langu kujibu maswali yako, vile ambavyo wewe unapenda ujibiwe.

Nilipost nilichokiandika kule juu kabisa kwa lengo la kumpa hint aliyeanzisha uzi, sababu hasa ya kutokea kwa kilichotok
Siku nyingine ukiandika kitu na huna uhakika nacho ni bora kueleza kwamba huna uhakika lakini kuandika kitu vile una uhakika nacho tena bila source yeyote siyo poa kwa kweli,ni hayo tu.
 
Siku nyingine ukiandika kitu na huna uhakika nacho ni bora kueleza kwamba huna uhakika lakini kuandika kitu vile una uhakika nacho tena bila source yeyote siyo poa kwa kweli,ni hayo tu.
Siwezi andika kitu ambacho sina uhakika nacho, ilo la kwanza, la pili, uvivu wako isiwe chanzo cha kuni angahisha mimi, kila kitu kipo wazi, ila umeamua tu kukaza ubongo.

Any way, niishie hapa. Chochote utakachosema next, upo sawa.
 
Siwezi andika kitu ambacho sina uhakika nacho, ilo la kwanza, la pili, uvivu wako isiwe chanzo cha kuni angahisha mimi, kila kitu kipo wazi, ila umeamua tu kukaza ubongo.

Any way, niishie hapa. Chochote utakachosema next, upo sawa.
Chutama
 
Kwani tuliwakataza kuweka mashabiki uwanjani?
 
pia Covid ipo bongo kwann wasizuie mikusanyiko isiyo na lazima . Nawaza tu kwa sauti
Kwani covid ye2 inawahusu nn wao, sie 2lishasema hakuna covid kwe2,na data znasema hivo, sa wao inawahusu nn!?
Wivu wao 2.
 
Umeelewa hoja yangu?
Nimeelewa hoja yako. Hiyo double standard unayolalamikia ungeleta uzi kipindi ambacho Simba ananufaika na uwepo wa mashabiki uwanjani , wakati timu zingine zikichecheza pasipo na mashabiki
 
Kwani tuliwakataza kuweka mashabiki uwanjani?
Basi pinganeni na CAF nendeni mkaujaze uwanja wa Mkapa kesho. Hao hao CAF kuna timu zimeomba ziingize mashabiki elfu tano, wakakataliwa wakaambiwa waingize washabiki elfu moja tu. Kwahiyo hata timu zingine zinatamani kuingiza mashabiki lakini CAF ndio inayoleta vipingamizi
 
Point
 
Acha kujibu hoja kwa mihemuko.
CAF hao wenyewe wamezuia watazamaji uwanjani kwa hoja ya mambo ya fairness. so hiyo fairness inatoka wapi kama baadhi ya timu unaruhusu mashabiki nyingine unakataza?
 
Acha kujibu hoja kwa mihemuko.
CAF hao wenyewe wamezuia watazamaji uwanjani kwa hoja ya mambo ya fairness. so hiyo fairness inatoka wapi kama baadhi ya timu unaruhusu mashabiki nyingine unakataza?
Kwani hiyo fairness unaitafsiri vipi? Maana ukiangalia kuzuia washabiki wasiingie uwanjani kwenye uwanja wa Mkapa dhidi ya Al Merreikh, pia ni fairness imetumika. Kwasababu mechi ya Al Merreikh vs Simba ilichezwa pasipo mashabiki uwanjani hivyo wanarudiana kwa kufuata usawa kama ilivyokuwa mechi iliyofanyika Sudan.
 
ni jibu kwanza swali hili. mechi ya simba na el mereck pia as vita timu za nyumbani hazikuwa na mashabiki je yalikuwa ni maelezo toka CAF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…