ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kumekuwepo utaratibu wa kusitisha uvuvi ziwa Victoria Kwa kipindi sasa.
Kwamba wanasitisha uvuvi kwa muda kama kulipa likizo ziwa na samaki ili wazaliane Kwa kipindi hicho.
Lakini tija ni ndogo na kero
Na hii inaibua nafasi za rushwa maana kuna wavuvi huingia ziwani na kuvua kipindi hicho cha zuia na kuuza samaki na dagaa Kwa bei kubwa maana zinakuwa zimeadimika mitaani
Uvuvi haiwezi kumaliza dagaa wala samaki ziwani. Waziri wa mifugo na uvuvi litazame hili
Kama mnafunga ziwa funga Kwa wote. Sio kipindi cha kufunga, tunaona wavuvi wakubwa wakiuza samaki sokoni huku wengine wakiwa wamezuia kupisha samaki na dagaa kuzaliana.
Kwamba wanasitisha uvuvi kwa muda kama kulipa likizo ziwa na samaki ili wazaliane Kwa kipindi hicho.
Lakini tija ni ndogo na kero
Na hii inaibua nafasi za rushwa maana kuna wavuvi huingia ziwani na kuvua kipindi hicho cha zuia na kuuza samaki na dagaa Kwa bei kubwa maana zinakuwa zimeadimika mitaani
Uvuvi haiwezi kumaliza dagaa wala samaki ziwani. Waziri wa mifugo na uvuvi litazame hili
Kama mnafunga ziwa funga Kwa wote. Sio kipindi cha kufunga, tunaona wavuvi wakubwa wakiuza samaki sokoni huku wengine wakiwa wamezuia kupisha samaki na dagaa kuzaliana.