Kuzuiliwa kwa matumizi kamili ya huduma za saa janja nchini

Kuzuiliwa kwa matumizi kamili ya huduma za saa janja nchini

Bado hujajibu swali langu, technically, hizo features zinawezaje kuwa disabled?

Yani Apple wanaambiwa saa zote zilizopo Tanzania do not enable this feature? Is that possible? How is that done? By IP address?

Kama ni hivyo, vipi mtu aki VPN na ku bypass IP block, au akisafiri na kuunga simu kwenye IP system ya Dubai kwa mfano? Ata bypass hiyo block? Kama kuna kosa, Kosa la Apple au la huyo mtu hapo?

To answer my own question.

This looks like more of an IP restriction, by country.

 
Bado hujajibu swali langu, technically, hizo features zinawezaje kuwa disabled?

Yani Apple wanaambiwa saa zote zilizopo Tanzania do not enable this feature? Is that possible? How is that done? By IP address?

Kama ni hivyo, vipi mtu aki VPN na ku bypass IP block, au akisafiri na kuunga simu kwenye IP system ya Dubai kwa mfano? Ata bypass hiyo block? Kama kuna kosa, Kosa la Apple au la huyo mtu hapo?

Geographical location inaweza kuwa approximated kupitia location services kwenye device yako.. kama ukiruhusu apps kutumia location services (mfano. Health apps) taarifa za kimtandao (cellular) na gps zinaweza kuchukuliwa na kujua specifically unatumia kifaa kama saa au simu ukiwa graphical location ipi..

Ukijaribu kuzunguka security zilizopo kwenye os kwa njia tofauti tofauti unaweza kufanya kifaa kikafungiwa kupata huduma permanently (rendered useless)..
 
Geographical location inaweza kuwa approximated kupitia location services kwenye device yako.. kama ukiruhusu apps kutumia location services (mfano. Health apps) taarifa za kimtandao (cellular) na gps zinaweza kuchukuliwa na kujua specifically unatumia kifaa kama saa au simu ukiwa graphical location ipi..

Ukijaribu kuzunguka security zilizopo kwenye os kwa njia tofauti tofauti unaweza kufanya kifaa kikafungiwa kupata huduma permanently (rendered useless)..
Nafikiri ni IP address zaidi ya geographical location. Kwa sababu Geographical location unaweza kubadili kirahisi. IP Address si rahisi hivyo.
 
Nafikiri ni IP address zaidi ya geographical location. Kwa sababu Geographical location unaweza kubadili kirahisi. IP Address si rahisi hivyo.
AGL (approximated geographical location).. location services hazifanyi kazi bila kuwa connected kwenye internet. Na kila device inakuwa assigned ip address na ISP so inamake sense..
 
Back
Top Bottom