Kuzuiliwa kwa matumizi kamili ya huduma za saa janja nchini


To answer my own question.

This looks like more of an IP restriction, by country.

 

Geographical location inaweza kuwa approximated kupitia location services kwenye device yako.. kama ukiruhusu apps kutumia location services (mfano. Health apps) taarifa za kimtandao (cellular) na gps zinaweza kuchukuliwa na kujua specifically unatumia kifaa kama saa au simu ukiwa graphical location ipi..

Ukijaribu kuzunguka security zilizopo kwenye os kwa njia tofauti tofauti unaweza kufanya kifaa kikafungiwa kupata huduma permanently (rendered useless)..
 
Nafikiri ni IP address zaidi ya geographical location. Kwa sababu Geographical location unaweza kubadili kirahisi. IP Address si rahisi hivyo.
 
Nafikiri ni IP address zaidi ya geographical location. Kwa sababu Geographical location unaweza kubadili kirahisi. IP Address si rahisi hivyo.
AGL (approximated geographical location).. location services hazifanyi kazi bila kuwa connected kwenye internet. Na kila device inakuwa assigned ip address na ISP so inamake sense..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…