Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
Huyu jamaa sijui ana undugu na Hermorapa?Maana sio kwa utafutaji kiki huu!!TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
Hahaha kiukweli Nimejichekea vibaya mnokama kuna watu wapo jirani na huyu ndugu wampeleke hospitali kabla mambo hayajaharibika zaidi
Samahani mtemi mkuu wa ACA, hivi mazingira unayoishi umezungukwa na nani (Namaanisha unaishi na nani ndani kwako). Unaonesha u mpweke sana mpaka unawaza ujinga ujinga. Mabandiko yako mengi ni ya kijinga jinga kabisa. Unajishushia heshima kwa jamii.
Nakushauri acha kuishi mwenyewe, tafuta watu wa kukuzunguka katika maisha yako ya kila siku.
Kwani umewafanyaje hao jamaa. Usikubali haki yako ipoteeTUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
Huyu jamaa kusomea digrii ya matahira kumemuaribu sana asee akili zako sio bure kuna waya haupeleki moto vizuri....TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.