ChamiNdonda
Senior Member
- Mar 12, 2016
- 135
- 184
someone should call an ambulance!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkoyi Deo,TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
UK wana sheria inaitwa "Being sectioned" ni mental health act section 136, inayowapa polisi uwezo wa kumkamata mtu yeyote wanayehisi ana matatizo ya akili ili wampeleke mahala pa kupewa msaada bila ridhaa yake. Kama na hapo bongo kuna sheria kama hii ningeomba walio karibu naye wawashauri polisi wafanye hivyo kabla hajadhurika ama kudhuru wengine.Naomba serikali ifanye juhudi kumtibu huyu jamaa kama waliokaribu yake hawaoni ni kichaa
hahahaaaaKama sikosei Shaban Dede na Sikinde yake waliimba tuwe na huruma kwa wagonjwa.
Anahitaji msaada na si kuchekwa tena, hii ya leo nimethibitisha pasi na shaka yoyote huyu mtu iko gonjwa.
Umevuna kiasi gan cha fedha kwa kutuletea upuuzi huu!?TUTAKOMOANA AISEE.
Nimeambiwa nitafungiwa kufanya kazi za kisiasa kwa miaka 6, lengo nisigombee Urais 2020, nawasubiri mjaribu ujinga wenu.
Kama sitatembea Uchi mpaka Ikulu, basi nitaitisha maandamano ambayo hayajawahi kutokea Duniani na yasiyo zuilika.
Mmeniadhirisha halafu mnifungie kisa WIVU wa kijinga.
Deogratius Kisandu
Tanzania, East Africa.
Mchanganyiko wa bange na gozoViroba vimefungiwa sijui tatizo ni nn?
Tena uengeleekeza hospitali ya kumpeleka pale Dodoma. Awah maana kadri siku zinavyosonga napata mashaka makubwakama kuna watu wapo jirani na huyu ndugu wampeleke hospitali kabla mambo hayajaharibika zaidi