Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Hongera mdau,kabla hujamtafuna mdosi yeye alikupiga ngapi hapo kabla
Mbaya zaidi hadi viongozi wanaisupport, jana nimeona mkuu wa mkoa Songwe nae anaisifia hii kitu anasema itasaidia kupunguza tatizo la ajira, seriously?Uchumi wa kubet, Hii nchi inaelekea pamaba mno, Kwa sasa sio tena akili tunaelekea kuishi kwa Bahati na sibu.
Mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
VzrKila zama na matukio yake, kila kitu huanzishwa kisha kuenea sehemu mbalimbali.
Kwa hii michezo ya betting imeanzishwa siku nyingi huko ughaibuni, huku kwetu tunaishangaa kwa sababu imefika hivi karibuni.
Hii ni sawa na jambo lolote lililoanzia huko na lilipofika kwetu tulionekana kulishangaa na kuongea mengi juu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app