Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Habari za usiku wadau.kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekaa na kufikiri ssijapata jibu kuhusu kuzuka kwa kampuni hizi je ni moja ya kukua kiuchumi au ni ugumu wa maisha unasababisha watu wenye uwezo flani kuanzisha hii michezo ili kupiga pesa zetu..