Kuzunguka kwa dunia

Kuzunguka kwa dunia

Bila jua kusingekuwapo magari, tv, pasi, meli, nguo, nyumba, pikipiki, bicycle, kitanda wala chochote!! Kumbuka vitu kama vile nguo,(pamba), kitanda (mbao) vinatokana na mimea ambayo haiwezi kuishi bila jua kwani mimea hiyo hujitengenezea chakula chake kutokana na jua!!
 
Kuna energy inayotokana na nuclear forces, kuna energy za matetemeko ya ardhi zinazotoka ndani ya dunia, hazitoki kwenye jua.

Unapoangalia nyota unaona mwanga unaotoka katika nyota hizo, mwanga huo hautoki katika jua.
Jua ni mojawapo ya mabillion ya nyota zilizopo angani, kwa hiyo ninapozungumzia jua maana yake nazungumzia nyota pia!.... Energy ya nuclear inatokana na madini ya uranium ambapo nyota(jua) linahusika kama hii link inavyoelezea Cosmic Origins of Uranium - World Nuclear Association
 
Jua ni mojawapo ya mabillion ya nyota zilizopo angani, kwa hiyo ninapozungumzia jua maana yake nazungumzia nyota pia!.... Energy ya nuclear inatokana na madini ya uranium ambapo nyota(jua) linahusika kama hii link inavyoelezea Cosmic Origins of Uranium - World Nuclear Association
Jua ni nyota lakini nyota zote si jua.

Kwa hiyo ukisema energy yote duniani inatoka kwenye jua wakati nyingine inatoka katika uranium iliyotoka katika supernovae iliyotokea baada ya nyota isiyo jua kulipuka, utakuwa unapotosha.

Na kama unaongelea energy kutoka kwenye nyota, na nyota nazo zimekuwa formed na nebulaes, kwa hiyo hata nyota si vyanzo vya energy.
 
Jua ni nyota lakini nyota zote si jua.

Kwa hiyo ukisema energy yote duniani inatoka kwenye jua wakati nyingine inatoka katika uranium iliyotoka katika supernovae iliyotokea baada ya nyota isiyo jua kulipuka, utakuwa unapotosha.

Na kama unaongelea energy kutoka kwenye nyota, na nyota nazo zimekuwa formed na nebulaes, kwa hiyo hata nyota si vyanzo vya energy.
Hata kama nyota zimekuwa formed by nebulas mimi interest yangu haipo kwenye kujadili kuwa nyota zimekuwa formed kwa nguvu gani, mimi interest yangu kwa sasa ni kuwa Our universe is powered by stars!!
 
Kama unaleta vifungu na link kuwa jua halihitajiki na mimi nitaleta link kibao pia kuwa jua linahitajika!!
Unataka mashindano au kuelewa?

Kwanza umesema nguvu zote zinatoka katika jua, nikakusahihisha kwamba nyota zote si jua.

Nuclear energy inayotoka katika uranium ambayo imetokea katika supernovae ya nyota isiyo jua imetoka kwenye jua?
 
Unataka mashindano au kuelewa?

Kwanza umesema nguvu zote zinatoka katika jua, nikakusahihisha kwamba nyota zote si jua.

Nuclear energy inayotoka katika uranium ambayo imetokea katika supernovae ya nyota isiyo jua imetoka kwenye jua?
Mimi kutaka kutetea hoja yangu kwa kutumia facts and literature review ni mashindano mkuu???.... Na nimeshasema hapo nyuma kwamba nilirefer jua kama nyota, sasa nashangaa hilo suala la uranium kutokana na nyota unalishikilia la nini!!!
 
Mimi kutaka kutetea hoja yangu kwa kutumia facts and literature review ni mashindano mkuu???.... Na nimeshasema hapo nyuma kwamba nilirefer jua kama nyota, sasa nashangaa hilo suala la uranium kutokana na nyota unalishikilia la nini!!!
Lakini unakubali kwamba jua ni nyota, lakini si nyota zote ni jua?

Na kwamba unaweza kupata uranium iliyotoka katika supernovae iliyolipua nyota isiyo jua na kupata nuclear energy ambayo chanzo chake si jua?

Jua letu halijapata kuwa na muda wa kutengeneza uranium.

Hivyo, nuclear energy tunayotumia duniani inatoka katika supernovae za nyota nyingine, si kutoka katika jua letu.

The heaviest element created in our sun is Bismuth 209, which is waay lighter than Uranium.
So all nuclear energy created from Uranium is not from the sun.

navigator_highlighted_periodic_table.png
 
...ok naona vumbi limetulia kidogo, kama kitu chenye uzito mkubwa kinakivuta chenye uzito mdogo, kwanini dunia/sayari zisielekee uelekeo lilipo jua lenye usito mkubwa?
 
...ok naona vumbi limetulia kidogo, kama kitu chenye uzito mkubwa kinakivuta chenye uzito mdogo, kwanini dunia/sayari zisielekee uelekeo lilipo jua lenye usito mkubwa?
Kwa sababu hazipo karibu vya kutosha.

Ukweli ni kwamba sio tu chenye uzito mkubwa kinavuta chenye uzito mdogo tu, bali chenye uzito mdogo nacho kinakivuta chenye uzito mkubwa.Pia dunia inataka kwenda perpendicular (angular momentum) na jua kwa mwendo wa km 3 kila sekunde. Dunia haiendi pembeni kwa mwendo wa kutosha kutoroka nguvu za jua, lakini haijakaa kukubali kuanguka kwenye jua kabisa na hivyo haiangukii huko.

Kwa Zaidi soma hapa
 
Kwa sababu hazipo karibu vya kutosha.

Ukweli ni kwamba sio tu chenye uzito mkubwa kinavuta chenye uzito mdogo tu, bali chenye uzito mdogo nacho kinakivuta chenye uzito mkubwa.Pia dunia inataka kwenda perpendicular (angular momentum) na jua kwa mwendo wa km 3 kila sekunde. Dunia haiendi pembeni kwa mwendo wa kutosha kutoroka nguvu za jua, lakini haijakaa kukubali kuanguka kwenye jua kabisa na hivyo haiangukii huko.

Kwa Zaidi soma hapa

Ahsante comrade, na nikupongeze kwa kujitahidi kuelezea haya mambo kwa kiswahili, sio kazi ndogo.
 
Kiongozi nina shida na wewe nicheki PM please....
Nimeshatii agizo mkuu, kwema? Tunapata darasa mujarab na kuongeza uelewa wa mambo! Shule zingine sio lazima uingie darasani haza kwenye hizi zama za utandawazi na maendeleo ya teknohama.
 
Warren T uko vyema mkuu, Kiranga naona baadhi ya post zako zina maana but unakataa kupokea maarifa mapya coz tu unaona uko perfect na unajua kila kitu , umeanza kwa kusema Hydroelectric haitokani na jua warren kakueleza vizuri apo juu sasa tuje jua ni nyota na je kila nyota sio jua? kwani sifa ya nyota si mpaka itoke ktk Protostar na kufuse baada ya Hyrgonen kuunguzwa? Saasa kama nyota ikishawaka enough na dust baadhi zina remain na kurotate ktk hio new born star utaita sio jua? Cc Kifyatu
 
umesema dunia/sayari isipokuwa na uvutano na jua itaanguka unaweza kuniambia itaangukia wapi..?
Itaangukia kwenye sayari yoyote iliyokaribu nayo,ambayo nguvu yake ya uvutano ni kubwa.
 
habari GTs. Kwa uelewa wangu mdogo naona kama muuliza swali alitaka kujua kwa nini dunia ama sayari inazunguka kwenye mhimili wake na nguvu gani ndio chanzo cha huko kujizungusha na hakumaanisha kwanini dunia au sayari inazunguka jua. KENZY nisahihishe tafadhali.
 
Lile jua pale linazunguka on its axis. Nakumbuka nilikuwa natazama CNN au Sky News,many years ago,wakasema we have just now discovered that the sun is rotating on its axis.
 
Back
Top Bottom