Kipindi cha uchaguzi niliposikia anachunguzwa uraia, nilijua ni figisu za uchaguzi. Lakin kwa hotuba fupi ya leo hapa uwanja wa Taifa, nimejiridhisha bila shaka kuwa si raia wa Tanzania hata km amesafishwa. Nina mashaka pia yawezekana kulikuwa na maagizo ya kumsafisha. Hii nchi ipo siku tutaongozwa na wasomali
Nawasilisha
Nawasilisha