Kwa 50000 naweza kufungua akaunti ya bank?

siku hizi ukiwa na kitambulisho tu cha NSSF/KURA/URAIA UNAFUNGUA AKAUNTI HAKUNA HAJA YA KWENDA SERIKALI YA MTAA
 
Passport size mbili barua ya utambulisho ya serikali ya mtaa ambayo inatakiwa iwekwe picha na sh 20,000/ hivyo ndo vigezo vya kufungua account Crdb na watakupatia visa/master card

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda equity Bank na kitambulisho chako tu, baada ya nusu saa utakuwa na account namba yako pamoja na debit card kwa shilingi 10,000/=.
 
Hivi mkuu Lodrick Thomas kati ya equity bank na bank ABC ni ipi ambayo unaweza kupendekeza kwa haya mambo ya online payments?
Maana ata mimi nataka nifungue account kwa aajili ya kazi hiyo tu.
Ahsante.
Nadhani benk yoyote yenye visa card tofauti na hizi local banks kama crdb...nmb...nbc...!!

Kuna bank wanatoa card tu bila kufungua account then unaanza kuweka pesa nadhan ni bankABC au bankM!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Ndo Faida Ya Jf ,, Jaman Internet Banking Ndo Naijua Leo Ila Nataka Kujua Saidi Hii Unakua Unalipia Internet Ya Cm Yan Inakua Badala Ya Kununua Bando Au Inakuwaje
 
Nenda equity Bank na kitambulisho chako tu, baada ya nusu saa utakuwa na account namba yako pamoja na debit card kwa shilingi 10,000/=.
Sawa Ngoja niachane na CRDB kama ni wazinguaji
 
mi naomba maelekezo kuhusu Barclays bank gharama zake na hatua za kufuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…