Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
siku hizi ukiwa na kitambulisho tu cha NSSF/KURA/URAIA UNAFUNGUA AKAUNTI HAKUNA HAJA YA KWENDA SERIKALI YA MTAAnaskia crdb elfu ishirini..
unatakiwa picha za passportsize kama tano hivi..
barua ya serikali ya mtaa
kitambulisho cha kupigia kura
bila kusahau mdhamini..na mdhamini shurtivawe mteja wa crdb kwa zaidi ya miaka miwili..
katika fomu ya maombi kuna sehemu mdhamini atajaza n Kuweka sahihi yake