1. Hii aibu ya Mwigulu na Tax Revenue Appeals Board (TRAB) and Tax Revenue Appeals Tribunal (TRAT) haya natabiri yanaweza kutokea
1. Kuondoa bunge live kuwaepusha na aibu CCM na wateule wa Rais na serikali kwa ujumla maana huyu siye wa mwisho.
2. Mwigulu anaweza kutemwa kama kutakuwa na badiriko la mawaziri.
Ikumbukwe Mwigulu ndiye aliyesababisha data za wagonjwa wa COVID-19 kuachwa kutangazwa baada ya kumshauri rais akiwa bungeni kuacha kutangazwa hizo data za waliokufa, wagonjwa etc etc.
Kilichotokea ni vifo mlivishuhudia ambavyo mtu angelichukua tahadhali maana data zingelimpa hint of what is going on
1. Kuondoa bunge live kuwaepusha na aibu CCM na wateule wa Rais na serikali kwa ujumla maana huyu siye wa mwisho.
2. Mwigulu anaweza kutemwa kama kutakuwa na badiriko la mawaziri.
Ikumbukwe Mwigulu ndiye aliyesababisha data za wagonjwa wa COVID-19 kuachwa kutangazwa baada ya kumshauri rais akiwa bungeni kuacha kutangazwa hizo data za waliokufa, wagonjwa etc etc.
Kilichotokea ni vifo mlivishuhudia ambavyo mtu angelichukua tahadhali maana data zingelimpa hint of what is going on