kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
- Thread starter
- #21
Kucheza kariakoo lindi, team ambayo hata wewe ungeamua kucheza ungecheza tu, ili mradi ukubali kucheza bure.1. Amecheza Mpira na anaujua vyema
2. Ni Mwerevu ( ana Akili )
3. Ni Mkweli.
4. Siyo Mnafiki.
5. Hanunuliki hovyo na Wapuuzi.
6. Anajiamini.
7. Ndiyo Mchambuzi Bora sasa nchini.
Namkubali sana hata Yeye anajua.
Ni mnafiki, anasema hivi kesho anasema vile kwenye ishu hyo hyo moja.
Ni mwanaharakati wa soka sio mchambuzi, kama anachofanya ni uchambuzi kwa akili zenu, basi kuna tatizo kubwa kwenye mpira wa nchi hii, especially kwa mashabiki wa mpira.